Recent content by Ambitious Joh

  1. Ambitious Joh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na kitu cha ajabu

  2. Ambitious Joh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na kitu cha ajabu

    Nilidhani nimekufananisha
  3. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kutana na koboko(black mamba), uliescape vipi maana huyu sio wa mchezo

    Nini maana ya Kaboka mchizi? Niliwahi kulisikia neno hili miaka ya nyuma
  4. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya biashara za minadani

    Nitarudi kusoma maoni
  5. Ambitious Joh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa rafiki yangu ananitaka ili alipe kisasi Kwa mume wake

    Ona sasa akili za vijana wa "Oktoba tunatiki"
  6. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza vibanda vya restaurant, pub na vya kawaida karibu sana boss wangu

    Nitakutafuta soon tufanye kitu.
  7. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Mkuu bado unaendelea na umachinga?
  8. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Watanzania wamechoka, usisubiri mambo yaharibike sana

    Nadhani ingekua na maana zaidi kama ungeanza kwa kusema "Kama uchaguzi ungekua wa haki ukisimamiwa na tume huru"
  9. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Watanzania wamechoka, usisubiri mambo yaharibike sana

    Hizo comment sio za wana JF. Ni pages za Instagram
  10. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Hakuna ushirikina wala ramli za kisiasa za kumzuia Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania hadi 2030

    Kama wew ni mwanaume na unafanya uchawa namna hii nitasikitika na kukudharau sana. Unless otherwise useme ni njaa ndo inakufanya ujitie ufahamu na kuwalamba makalio viongozi humu mitandaoni ili angalau mkono uende kinywani.
  11. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Hakuna ushirikina wala ramli za kisiasa za kumzuia Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania hadi 2030

    Huu uchawa wa kuimba mapambio na nyimbo za kusifu na kuabudu unafanya watu wakuone kama taahira na wakupuuze.
  12. Ambitious Joh

    JamiiForums Tanzania Hakuna ushirikina wala ramli za kisiasa za kumzuia Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania hadi 2030

    Buku saba saba zinafanya mvae miwani ya mbao na mjitoe ufahamu kabisa. Njaa ni mbaya.
  13. Ambitious Joh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefumaniwa na mwanachuo

    Wazazi na ndugu zako wanaokulipia ada kwa kuchangishana na kujinyima wakiona huu uzi wako watabubujikwa na machozi ya uchungu kama Lucas Mwashambwa
Back
Top Bottom