Well said kiongozi, sometimes watanzania tunajitoa ufahamu kwa kushabikia serious and sensitive issues kama hii ya kupunguzwa traffic barabarani pasi na kujua negative impact ya ongezeko la ajari barabarani.
Ushauri wangu kwa Jeshi la Polisi ni kutoa maamuzi kwa kujiongeza ("akili za...
Nakubaliana nawe mkuu. Ni sawa na huku Kyela, CHADEMA bila Abraham MWANYAMAKI mgombea Ubunge 2015, hakuna mtikisiko, ushindani na mvuto wa Uchaguzi Mkuu 2020.
NHIF ni wezi wakubwa. Na wanabebwa na Serikali yenyewe. Just imagine... Member una wategemezi 6 unalipia kila mwezi wakiwemo watoto wako wa kuwazaa 4. Ikitokea mtoto akifikisha miaka 18, NHIF wanamuondoa kwenye hiyo Bima ya Afya ilhali bado ni tegemezi.
Mbaya zaidi usipoumwa mwaka mzima pamoja...
Binafsi sisikitii kutenguliwa kwa DAS.
Ninachojiuliza kwa mleta uzi, kwenye tukio kubwa la kihistoria kama hili, hivi umeona kutumbuliwa DAS ndio headilne kuu kwenye tukio hilo?
Mbona hauipongezi Wizara ya Maji kupitia DAWASA kufanikiwa kutkeleza mradi mkubwa wa maji na kutatua kero ya ukosefu...
Pole sana mkuu inatia uchungu na hasira, ila ujipe moyo utayashinda majaribu haya kwani kuondoka kwake ni mwanzo mzuri kwako. Tulia, haya ni mapito tu ya duania na Mungu yuko upande wako ni suala la muda tu utaona furaha.
Kwenye 17 hapo naongezea: barua ilikuwa inaandikwa hivi:
"Salaam nyingi nazimwaga kama mchanga wa Bahari ya Hindi au Ziwa Nyasa na zikufikie popote pale ulipo. Baada ya salaam, mimi ni mzima wa afya tele, hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.