Recent content by amate

  1. amate

    Kama hujawahi kabisa kuagiza mzigo kutoka China ni bora kuazia Kariakoo au Nairobi Kenya

    Wafanyabiashara wakubwa kutoka katoro, huchukua bidhaa kutoka Dubai na China direct. Wadogo wanachukua kariakoo.
  2. amate

    Naomba ushauri wa kozi ya kujiendeleza

    Biotechnology, Bioengineering au Biomedical (Zote zinakufaa)... Kapambane tu...
  3. amate

    Duniani watu ni wanafiki Sana

    Bado sijakuelewa Posterman. Nini maantiki ya post yako...??. Kwahiyo unamanisha wanafiki wakapigane au??
  4. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Okay mkuu. Hapo ni kazi saan kulipa
  5. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Hapana mkuu.... Hata sasa batiki zinasoko, sema shida ni bei za malighafi na kemikali
  6. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Uko mkoa gani..?? Mbona hizo za MO plain ni 6500 kwa piece. Sema hizo za ZAHRA sizijui.
  7. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Unauza sh. Ngapi kwa piece moja ya batiki...??
  8. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Nko kanda ya ziwa...mostly Geita
  9. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Mkuu nko serious. Naomba biashara zinazolipa ili nipambane....
  11. amate

    Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

    Mkuu ujasiriamali upi unalipa ??.
  12. amate

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  13. amate

    Je, nifanye Kilimo au biashara kwa mtaji chini ya milioni 1?

    No, si kwamba Geita yote imegusa ziwa... Nmeuliza ili unieleweshwe ulichokuwa unamanisha mkuu.
Back
Top Bottom