Ujasiriamali wa kutengeneza batiki haulipi Tanzania

amate

Senior Member
Feb 23, 2017
157
377
Matumaini yangu hamujambo wana-JF

Napenda kutoa uzi huu nikiwa na experience ya kutosha kuhusu ujasiriamali kwa nchi yetu. Tanzania haina habari kuhusu wajasiriamali kwa sababu zifuatazo:

1. Malighafi bei ziko juu.
Huwezi kusema hakuna ajira za kutosha kwahiyo vijana wajiajiri halafu bei za bidhaa inayohusu ujasiruamali na vitendea kazi vyake viko juu. Mfano, watengenezaji wa batiki, bei ya peace moja ya batiki (kabla hujaifanyia modification) ni 6250/= - 6300/=. Baada ya kuweka rangi zako utauza bei gani...?

Wakat peace moja ya kitambaa hicho hicho (yaan same material) nimetengenezwa kiwandani (kitenge kutoka kiwandani) kinauzwa 6500/=. Sasa mjasiriamali atapata wapi soko..?. MAONI YANGU. MO ndo Mzalishaji mkubwa wa vitambaa plain kwajili ya wajasiriamali kwa kushilikiana na serikali washushe bei.

2. Kemikali bei juu. Turudi kweny batiki hizo hizo, zinatengenezwa kwa kemikali kama 3 hivi. (Caustic soda, sodium hydrosulphate na rangi). Hizi kemikali zinatoka India zinatozwa kodi ndefu. Sasa mjasiriamali atawezaje kuzinunua ??. MAONI YANGU. Serikali watambue uwepo wa wajasiriamali, wapunguze kodi kwa baadhi ya kemikali.

3. Vyeti kutoka SIDO. Limitations za serikali kama vile kila mjasiriamali apate cheti cha ujasiriamali wakat hawana mda wa kufundisha wajasiriamali.

4. TBS. Kati ya taasisi useless Tanzania ni hii, wanadhibit ubora na viwango vya bidhaa zipi..?. Hawa jamaa wanaendesha ukiritimba wa kubana panzi, lakn tembo hawaulizwi chochote (Waliosoma Cuba wameshaelewa).

5. MY TAKES: Baadhi ya nchi mjasiriamali anapewa priority kubwa sana ili:
  • Waongeze ajira kwa vijana
  • Waongeze ubunifu
  • Waongeze kipato kwa kila mwananchi
  • Wazalishe viwanda vingi zaid na nchi ipate mapato....

ASANTENI SANA
 
Nlivyokuja mbio nikataka nimwage povu nikajua wajasiriamali wote, kumbe unazungumzia batiki.... pole sana aisee
 
Matumaini yangu hamujambo wana-JF

Napenda kutoa uzi huu nikiwa na experience ya kutosha kuhusu ujasiriamali kwa nchi yetu. Tanzania haina habari kuhusu wajasiriamali kwa sababu zifuatazo:

1. Malighafi bei ziko juu.
Huwezi kusema hakuna ajira za kutosha kwahiyo vijana wajiajiri halafu bei za bidhaa inayohusu ujasiruamali na vitendea kazi vyake viko juu. Mfano, watengenezaji wa batiki, bei ya peace moja ya batiki (kabla hujaifanyia modification) ni 6250/= - 6300/=. Baada ya kuweka rangi zako utauza bei gani...?

Wakat peace moja ya kitambaa hicho hicho (yaan same material) nimetengenezwa kiwandani (kitenge kutoka kiwandani) kinauzwa 6500/=. Sasa mjasiriamali atapata wapi soko..?. MAONI YANGU. MO ndo Mzalishaji mkubwa wa vitambaa plain kwajili ya wajasiriamali kwa kushilikiana na serikali washushe bei.

2. Kemikali bei juu. Turudi kweny batiki hizo hizo, zinatengenezwa kwa kemikali kama 3 hivi. (Caustic soda, sodium hydrosulphate na rangi). Hizi kemikali zinatoka India zinatozwa kodi ndefu. Sasa mjasiriamali atawezaje kuzinunua ??. MAONI YANGU. Serikali watambue uwepo wa wajasiriamali, wapunguze kodi kwa baadhi ya kemikali.

3. Vyeti kutoka SIDO. Limitations za serikali kama vile kila mjasiriamali apate cheti cha ujasiriamali wakat hawana mda wa kufundisha wajasiriamali.

4. TBS. Kati ya taasisi useless Tanzania ni hii, wanadhibit ubora na viwango vya bidhaa zipi..?. Hawa jamaa wanaendesha ukiritimba wa kubana panzi, lakn tembo hawaulizwi chochote (Waliosoma Cuba wameshaelewa).

5. MY TAKES: Baadhi ya nchi mjasiriamali anapewa priority kubwa sana ili:
  • Waongeze ajira kwa vijana
  • Waongeze ubunifu
  • Waongeze kipato kwa kila mwananchi
  • Wazalishe viwanda vingi zaid na nchi ipate mapato....

ASANTENI SANA
Inspiration speakers ukiwasikia wanavyokuwa mabilionea kwa Kuuza Batiki
 
Kama upo maeneo ya kusini fanya biashara ya mazao my friend
Mi niko Mkoa mmojawapo wa Nyanda za juu Kusini, naomba unishauri ili niweze kuingia kwenye biashara ya mazao. Zao lipi linaweza kunipatia faida na wapi nitapata soko la uhakika kununua na kuuza, angalau mtaji wa kuanzia niwe na kiasi gani. Natanguliza shukrani
 
Mi niko Mkoa mmojawapo wa Nyanda za juu Kusini, naomba unishauri ili niweze kuingia kwenye biashara ya mazao. Zao lipi linaweza kunipatia faida na wapi nitapata soko la uhakika kununua na kuuza, angalau mtaji wa kuanzia niwe na kiasi gani. Natanguliza shukrani
Msimu huu wa korosho kanunue za kangomba kilo 1000. Unauza ghalani Kwa Bei ya mnada itayotoka sijajua safari hii Bei ni ngap ya korosho
 
Matumaini yangu hamujambo wana-JF

Napenda kutoa uzi huu nikiwa na experience ya kutosha kuhusu ujasiriamali kwa nchi yetu. Tanzania haina habari kuhusu wajasiriamali kwa sababu zifuatazo:

1. Malighafi bei ziko juu.
Huwezi kusema hakuna ajira za kutosha kwahiyo vijana wajiajiri halafu bei za bidhaa inayohusu ujasiruamali na vitendea kazi vyake viko juu. Mfano, watengenezaji wa batiki, bei ya peace moja ya batiki (kabla hujaifanyia modification) ni 6250/= - 6300/=. Baada ya kuweka rangi zako utauza bei gani...?

Wakat peace moja ya kitambaa hicho hicho (yaan same material) nimetengenezwa kiwandani (kitenge kutoka kiwandani) kinauzwa 6500/=. Sasa mjasiriamali atapata wapi soko..?. MAONI YANGU. MO ndo Mzalishaji mkubwa wa vitambaa plain kwajili ya wajasiriamali kwa kushilikiana na serikali washushe bei.

2. Kemikali bei juu. Turudi kweny batiki hizo hizo, zinatengenezwa kwa kemikali kama 3 hivi. (Caustic soda, sodium hydrosulphate na rangi). Hizi kemikali zinatoka India zinatozwa kodi ndefu. Sasa mjasiriamali atawezaje kuzinunua ??. MAONI YANGU. Serikali watambue uwepo wa wajasiriamali, wapunguze kodi kwa baadhi ya kemikali.

3. Vyeti kutoka SIDO. Limitations za serikali kama vile kila mjasiriamali apate cheti cha ujasiriamali wakat hawana mda wa kufundisha wajasiriamali.

4. TBS. Kati ya taasisi useless Tanzania ni hii, wanadhibit ubora na viwango vya bidhaa zipi..?. Hawa jamaa wanaendesha ukiritimba wa kubana panzi, lakn tembo hawaulizwi chochote (Waliosoma Cuba wameshaelewa).

5. MY TAKES: Baadhi ya nchi mjasiriamali anapewa priority kubwa sana ili:
  • Waongeze ajira kwa vijana
  • Waongeze ubunifu
  • Waongeze kipato kwa kila mwananchi
  • Wazalishe viwanda vingi zaid na nchi ipate mapato....

ASANTENI SANA
Naunga hoja kwa 100%.
.9Niliingia kichwa kichwa kwenye hii biashara ya Batiki miaka 3 iliyopita baada ya kudhuria mafunzo ya ujasiriamali ikiwemo kutengeneza Batiki.
Mwanzo nilidhani hii biashara itanilipa kumbe sikufanya utafiti wa kutosha kuhusu upatikanaji wa malighafi pamoja na soko lake.
Nilipoanza kutengeneza nilijuta kwani malighafi bei iko juu, faida ni ndogo sana na mzunguko wa biashara ya Batiki ni mdogo mno kwa huku mkoani kwetu nimefika mahali nataka kuacha kutengeneza.
 
Naunga hoja kwa 100%.
.9Niliingia kichwa kichwa kwenye hii biashara ya Batiki miaka 3 iliyopita baada ya kudhuria mafunzo ya ujasiriamali ikiwemo kutengeneza Batiki.
Mwanzo nilidhani hii biashara itanilipa kumbe sikufanya utafiti wa kutosha kuhusu upatikanaji wa malighafi pamoja na soko lake.
Nilipoanza kutengeneza nilijuta kwani malighafi bei iko juu, faida ni ndogo sana na mzunguko wa biashara ya Batiki ni mdogo mno kwa huku mkoani kwetu nimefika mahali nataka kuacha kutengeneza.
Unauza sh. Ngapi kwa piece moja ya batiki...??
 
12,500 ni zile za mshumaa, nainunua piece moja plain kwa 8000 ile ya MO, Kuna nyingine wainaita ZAHRA yenyewe ni 7,500
Uko mkoa gani..??

Mbona hizo za MO plain ni 6500 kwa piece. Sema hizo za ZAHRA sizijui.
 
Back
Top Bottom