Ukiheshimu wengine lazima utaheshimiwa. Huyu wa kwetu hana adabu na anajiona yy ndo Mungu. Wanaomuheshimu na kumstahi ni wale wachache walio karibu naye sana na wanaopata chochote toka kwake ili wasikikose. Nadhani mtoa mada pia yupo kwenye hilo kundi la wachache.
Anasema hataki malumbano na familia. Kutukataza tusiongelee maswala ya Lissu, kwa tafsiri rahisi ni kwamba ametangaza malumbano na wananchi walipa kodi zinazomfanya yeye atukataze tusiongee! SHAME
Mi naunga mkono kujenga UKUTA tena kama ule wa september mosi mwaka jana uliozuwiwa na watu wanaojulikana na magari yao yanayowashwawashwa. Tehe tehe tehe .......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.