Recent content by amare

  1. A

    Habari njema kwa mkoa wa Njombe na wana CCM wote !!!!!

    We uliyeleta hii thread ni lofa tena ni taira kabisa kwasababu unavita binafsi ambayo ni ujinga kabisa! kwa mawazo ya kijinga kama haya wakiwa watu kumi tu njombe haiwezi kuendelea kama unavyofikiri. Pumbavu kabisa wewe ebu badiri namna yako ya kufiri> utataka kutuharibia mkoa wetu wewe!
  2. A

    Ushauri wa bure kwa mheshimiwa Rais!

    Mheshimiwa sana Rais wetu, hii ni nafasi kwako kuwaonesha watanzania utendaji wako uliotukuka hata kama wamekuchoka wewe na chama chako! Nakushauri fanya mabadiliko ya balaza la mawaziri kwa umakini wote bila kutazama urafiki na wala uswaiba! acha usanii! ni muda wa kuua nyani bila kutazama...
  3. A

    CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

    kweli wewe ni ***** kati ya mabwege! thread kama hii unaweza kweli kuileta jamvini wakati kama huu ambapo wapumbavu wenzako magamba mnapumulia mashine! Jinga ni jinga tu hata ukilipeleka darasani hakuna mabadiliko! sijui ww ni mzee au kijana, kama ni mzee sio mbaya huyo kashapishana na wakati...
  4. A

    CCM katika hali mbaya Arusha; kigogo mwingine (Bananga) atimkia CHADEMA

    Usaliti na makundi ndani ya CCM yanatishia kabisa uhai wa chama na tayari yamekwisha angamiza Taifa letu, hata hivyo nafasi ya wa watoto wa wanyonge ndani ya CCM inazidi kuwa finyu, aidha ujipendekeze kwa wakubwa ili upate nafasi ya kutumikia jamii au Chama, wakati nafsi yangu haiko tiyari...
  5. A

    Ni makosa makubwa kushinikiza Serikali - Dk Benson Bana

    Bana unaonesha ni jinsi gani ulivyojinga na akili zako zilivyojaa magamba! pole sana Dr mzima unatoa mawazo ya darasa la sita Pumbavu! tunamashaka sana na udaktari wako na wanafunzi wetu unawaharibu hapo chuo kikuu! shida yako damu yako yote ni ya kijani na ngozi yako ni ya njano! na hivi...
  6. A

    Mawaziri tumbo joto; Wanaharakati wawasha moto

    Mimi sina imani kabisa na jk! Sijui kama atafanya kinyume cha tunavyomfahamu. Amefanikiwa sana katika kuongoza nchi kisanii
  7. A

    Wazee waitabiria kifo CCM: Anguko la CCM laja?

    R.P.I CCCM a.k.a MAGAMBAAA! WASTAREHE KWA AMANI AMINA. BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE. MAZISHI NI MUDA WOWOTE KUANZIA SASA!
  8. A

    Chekeche jipya la mawaziri lanunikia muda si mrefu

    Washezi wakubwa hao waende zao! lakini shida ipo kwa mfuga mbwa ndo maana mbwa wake wanafanya madudu! kama mwenye mbwa angekuwa sirious basi hao mbwa wasingeiiba mboga jikoni na mwenye mbwa akafurahi tu! R.P.I CCCCCM!
  9. A

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    asante sana makamanda! peoples poooooooooooooooooooooooooooowerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
  10. A

    Katiba ya WANANCHI vs YA MAKINDA

    uko sawa kabisa! :eyebrows:
  11. A

    Nani kugombea urais 2015 Tanzania kupitia CCM?

    makinda wazee! hamuoni anavyo liongoza bunge kama darasa la chekechea
  12. A

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Jk na Lowasa ni maswaiba wa siku nyingi wala msitegemee kama wanaweza kukeukana leo! CCM imeoza na kunuka imeanza kilichobaki ni kuzikwa tu! na mazishi yao yanakuja! Mafisafi makubwa haya! Magamba yanawashinda kuvua kwani ni magumu sana! Nyambafu zao! lazima tuwasafishe wote. Watausikia uras...
Back
Top Bottom