Mara zote utumiaji wa jeshi katika kutatua migogoro siyo suluhisho la kudumu hasa katika nchi zinazodai zinzendeshwa kidemoksia. Watawala wanapaswa kujiuliza kwanini wananchi wanapinga miradi mbalimbali inayosadikika kuwa ni ya umma? mfano Mji mpya wa Kigamboni serikali haijashirikisha wananchi...
MM sidhani kama kuondoa division 0 ndo tatizo! mimi nadhani wizara ya elimu inapaswa kushughulikia mambo ya elimu kwa umuhimu mkubwa sana. naamini wanajua tatizo la elimu nchini ila hawatili maanani na hii ni kwa sababu watoto wa vigogo hawasomi kwa hizi shule za kata ambazo wamekuwa wakizisifia...
Mheshiwa Waziri mkuu Pinda nimewahi kusikia tetesi eti ukiwa unasali huwa unasali hivi? enyi miingu nijalieni nizidi kutumie hizi sheria kandamizi zilizotunga na bunge la Tanzania hata kama .........ili kukandamiza uhuru wa habari milele hadi milele amina! Nitatumia sheria hii so long as ina...
Hongera Sana Mnyika! Hawa jamaa kazi yao ni kuwapotezea watu muda wa kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku wananchi waone kama mbuge wao hafanyi kazi sawasawa!
pili hawajali/hawathamini kabisaaa upotevu mwingi wa fedha za umma hasa pale inapotokea chaguzi zinzrudiwa! Ukiangalia pia kesi nyingi...
Jamani juzi nilikwenda mwananyamala sokoni ili nijipatie mahitaji kidogo kwa ajili ya nyumbani. Amini usiamini nilishindwa kununua kwani mchele kilo moja ni 2,400/= mpaka 3,000/= kwa kweli ilinichukua dakika 15 kufikiria ninunue au la mwisho niliondoka mikono mitupu!
Hapa kinachonishangaza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.