Recent content by Amani2002

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Hukutoa maoni bali ulikuwa unatupa assurance kwamba Lissu hawezi kuwa Raisi,ngoja nikupe story kidogo,mimi nilikuwa na kiongozi wangu fulani hivi Msenegali,miaka kama minne iliyopita tukiwa naye ofisini nikaona anashangilia sana,nikamuuliza nini akaanza kunionyesha picha iloyokuwa kwenye simu...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Wewe sio Mungu,kwa nini unajipa kazi ya Mungu
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Hekima iliyotumika kufuta kesi ya Mbowe, itumike kwa Lissu

    Tanzania sio Nigeria wala sio Saudia,yaani wewe kabisa unalinganisha nchi maskini isiyo na mbele wala nyuma na Saudia🤣🤣🤣
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Hekima iliyotumika kufuta kesi ya Mbowe, itumike kwa Lissu

    Ila unakubali bibi abunuasi ni mjinga
  5. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polepole alisema baada ya Uchaguzi maridhiano ni utapeli kataeni maridhiano. Je, mnataka kumsaliti Polepole?

    Ila wewe jamaa huna akili,uwa nafuatilia unavyoandika inanipa taarifa uwezo wako wakupembua mambo ni mdogo sana
  6. A

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hapa sijaelewa kitu
  7. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Taratibu za kupata Samia Scholarship zipoje? Iweje nipate division ya 1.5 nikose na wenye 1.9 wapate?

    Pole sana,Mungu ni mwema,mtegemee yeye kila kitu kitakuwa sawa,hii dunia inauonevu sana,kaza moyo
  8. A

    JamiiForums Tanzania Super Sub ya Agrey Mwanri iliyofanywa na CCM itarudisha matumaini ya Wafuasi na wanachama wa CCM?

    Nimefuta,sijui wewe umeelewa namuongelea nani?ila samahani kwa kuwa nilikuwa nimecomment kwenye uzi ulionzisha wewe ngoja nifute
  9. A

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Huyo ndo kaua jeshi kabisa huyo macho kudengua
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere na mama yake

    Hapana Mama Maria sio mzanaki,ni mtu wa kinesi
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Kwa hiyo wewe kiande Mkristo gani aliyekuharibia maisha🤣🤣🤣,kwa hiyo sasa hivi maisha yako yamenyoka wewe mbuzi wa kijani
  12. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

    Kwa hiyo wakisha muua itasaidia nini sasa,na huyo Heche kawazuia nini kufanya hicho wanachokitaka,haya alifanya Idd Amini dada kwa hiyo Samia hatakuwa wa kwanza
  13. A

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Hayati Benjamini Mkapa aliweza kuukuza Uchumi wa Tanzania na kuwa karibu sana na wa Kenya | Endelea kupumzika kwa amani Mzee Mkapa

    Kazi ya Kikwete hiyo,huyo mzee alisababisha gap kubwa sana,yeye ilikuwa kutapanya pesa
  14. A

    JamiiForums Tanzania NCHIMBI sasa usubiri comeback

    Umedanganywa ukadanganyikwa,hii ni baada ya ile ziara kwa Mzee Warioba,wanataka kumdanganya mzee warioba na kutudanganya sisi wananchi
Back
Top Bottom