Wewe hata GDP uyakuwa hujui maana yake..kipindi cha Magu unachoongelea ni kipindi cha COVID,wakati wa Magu tulipanda toka nafasi ya 10 mpaka nafasi ya 9 tukawa juu ya Ivory Coast
Mimi degree yangu ya kwanza ni Uhasibu,nina CPA lakini kazi nayofanya ni HR na mshahara wangu ni zaidi ya 28milion kwa mwezi,kwa hiyo unaposema HR haina maisha sijui haina kazi nakushangaa sana.
Wakati nikiwa chuo sikutegemea kabisa kama nitakuja kuwa HR,ila baada ya kuingia sokoni huku...
Alipambana na washenzi kama wakina Mbowe na wajinga wajinga kama wakina Wenje,Magufuli alikuwa mbele sana ya muda,alipenda sana kushirikiana na Chadema,tatizo Chadema ilikuwa imetekwa na wana mtandao
Mimi ni shabiki sana wa chadema,ila kitendo cha Chadema kumteua Lowasa na CCM kumteua Magufuli,ilinifanya niamie CCM,ila nimegundua shida kubwa ni CCM ya Kikwete ina mizizi miovu sana kwa hii nchi
Mali haikuwa ya Manji bali mali ilikuwa ya watanzania iliyoibiwa na Kikwete na yeye manji kuwa msimamizi tu, kwa sasa mzigo umeamishiwa kwa mfadhili mwingine wa Yanga,kwanza Magufuli aliwasamehe sana hao kenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.