Hukutoa maoni bali ulikuwa unatupa assurance kwamba Lissu hawezi kuwa Raisi,ngoja nikupe story kidogo,mimi nilikuwa na kiongozi wangu fulani hivi Msenegali,miaka kama minne iliyopita tukiwa naye ofisini nikaona anashangilia sana,nikamuuliza nini akaanza kunionyesha picha iloyokuwa kwenye simu...
Kwa hiyo wakisha muua itasaidia nini sasa,na huyo Heche kawazuia nini kufanya hicho wanachokitaka,haya alifanya Idd Amini dada kwa hiyo Samia hatakuwa wa kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.