Recent content by Amani2002

  1. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    Kwa nini idd amini dada ndani ya miaka yake sita katushusha inamaana kichwani mwake ni zero au wewe chawa wake unasemaje
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    Ghana wamekuwa na mafuta lini hiyo,acha uongo wewe chawa
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    Wewe hata GDP uyakuwa hujui maana yake..kipindi cha Magu unachoongelea ni kipindi cha COVID,wakati wa Magu tulipanda toka nafasi ya 10 mpaka nafasi ya 9 tukawa juu ya Ivory Coast
  4. A

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ujenzi yaomba Trilioni 2.5 kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Na yule Idd Amini Mama naye ni kilaza haswa
  5. A

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Wizara ya Ujenzi 2026/27: TZS 376 BILIONI HAZINA MAELEZO

    Hapo wizarani sasa hivi ni upigaji kwenda mbele,kumbuka waziri ni mwanafamilia wa JK,sasa hivi ni kujichotea tu
  6. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    Ahahahaha,bibi Idd Amini Mama lazima atudondoshe haswa,tulikuwa tunakwambia unabisha
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tunaweza tusiwepo, ila maandishi yanabaki: Nina maono

    Kwani kuna nini🤣🤣🤣🤣
  8. A

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Nilimshangaa sana siku ile alivyofungua domo lake,yule mpuuzi ni empty sana
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ndugu yako akisoma hizo course jitahidi kumuandalia bodaboda kama backup

    Mimi degree yangu ya kwanza ni Uhasibu,nina CPA lakini kazi nayofanya ni HR na mshahara wangu ni zaidi ya 28milion kwa mwezi,kwa hiyo unaposema HR haina maisha sijui haina kazi nakushangaa sana. Wakati nikiwa chuo sikutegemea kabisa kama nitakuja kuwa HR,ila baada ya kuingia sokoni huku...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Bayern alipigwa na Arsenal 3 msimu huu,au wewe hufuatilii mambo
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Mechi mbovu kinyama,walipofungana tatu nikazima TV nikalala
  12. A

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakutana na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania na kufanya naye mazungumzo

    Kila la kheri,ni jambo jema
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Alipambana na washenzi kama wakina Mbowe na wajinga wajinga kama wakina Wenje,Magufuli alikuwa mbele sana ya muda,alipenda sana kushirikiana na Chadema,tatizo Chadema ilikuwa imetekwa na wana mtandao
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Mimi ni shabiki sana wa chadema,ila kitendo cha Chadema kumteua Lowasa na CCM kumteua Magufuli,ilinifanya niamie CCM,ila nimegundua shida kubwa ni CCM ya Kikwete ina mizizi miovu sana kwa hii nchi
  15. A

    JamiiForums Tanzania Unaweza usinielewe, lakini Ruge wa Clouds na Yusuph Manji, vifo vyao vina mkono wa mtu

    Mali haikuwa ya Manji bali mali ilikuwa ya watanzania iliyoibiwa na Kikwete na yeye manji kuwa msimamizi tu, kwa sasa mzigo umeamishiwa kwa mfadhili mwingine wa Yanga,kwanza Magufuli aliwasamehe sana hao kenge
Back
Top Bottom