Kuhusu kuua upinzani namtetea sana,Magufuli alikuwa anapata taarifa nyingi sana na alimfahamu Mbowe zaidi hata ya tulivyomfahamu kwa sasa,wapinzani wengi walikuwa wako loyal kwa JK kaa sababu ni watu waliofanyiwa mambo makubwa ya kiuchumi na Kikwete.
Kuhusu huu utawala kuhusika hilo wala halina...
Huyu mzee kijana ni boss huko TANAPA,huyu mzee hata kipindi akiwa mkuu wa mkoa wa mara alikuwa ni mzee mpuuzi asiyewajibika na mzembe haswa,kilichomsaidia ni kutoka ukoo wa Nyerere basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.