hayo mengine ni sawa ila tu sahihisho, MC Baraka ndiye mmiliki wa blog ya bukobawadau si DJ Baraka wa jamii forum ambaye kwa akili zake alitaka kumharibia jina na kumchafua MC Baraka kwa kutumia lake kuleta habari mbali mbali za uongo hasa za watu wa Bukoba. Aliposhtukiwa hapa akabadili jina na...
Nafikiri mleta mada hakuelewa alichokisema Lulu or ana maana nyingine, coz mm nilangalia show na alichosema yeye ni kwamba kuna kampuni anayofanya nayo kazi , so anafanyakaza under management ya hiyo kampuni na ndio chanzo cha mabadiliko na mafanikio aliyonayo kwa sasa.
Wewe Kaka ni muongo sana, ndio maana unapenda kutumia majina ya watu, ulikuja hapa na bukoba wadau mwenye jina akakuwakia ukaja na DJ Baraka, kwa kuamini ndilo jina na mmiliki wa bukobawadau, pole ni kusaidie tu jamaa anaitwa Mc Baraka.
Back to the topic:
Inno Hakwenda kijijini kutokana na...
Nivea mm nilishapata ticket kwa bei hiyo but nashindwa kuiattach hapa naendelea kujaribu ila ili upata kwa bei hiyo ni lazima kukata ticket miezi miwili kabla ya safari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.