Uzuri watu wote wanaoondoka UKAWA hawana madhara, Lipumba ndio hana influence kabisa bora Slaa. Waliokuwepo Mlimani City kwenye mkutano mkuu wa CDM wanatosha kuendeleza mapambano.
Hakuna tatizo lolote CDM kumkaribisha Lowassa, tatizo sio Lowassa, tatizo ni Lipumba na viongozi wenye uchu wa madaraka. Lipumba alishaanza kusumbua toka mda mrefu. Unafuu wa Magufuli unauzungumzia katika muktadha gani? Kama uwezo wako wa kuchambua vitu ndiyo huu basi bado una safari ndefu sana...
If you ask me, I don't think his supporters are genuinely looking for change outside CCM as they claim, instead, I think they are up for a revenge and they are ready for the consenquences, even if it means CCM loosing this election.
Lowassa has a large number of supporters judging by the crowd he gathered in his various trips seeking sponsors. The only problem was the corruption scandal and I think that's why he was dismissed.
These supporters are going to be important for the opposition if Lowassa stays silent without...
I think this is great reminder how music is real and how it touches every inch of our lives! I also think that the old songs are better in terms of lyrics and messages to the people..old is always gold'''':bowl:'
These days it is all about the beat according to Eminem, fewer and fewer music...
CUF hawasomeki, tarehe 25 ni mbali ukizingatia wenzao wako tayari wao ndio wanaochelewesha kisa 'vuguvugu' ndani ya chama
Kwanini hilo 'vuguvugu' litokee mda huu ambapo UKAWA walishasema watataja mgombea wao tarehe 14?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.