Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Ever realized that you could actually learn from the music? Well, here's the proof. It's a De La Soul's gem called 'Trying People', from the album AOI: Bionix which was released in 2001. I chose the last verse (Pos'), and i've tried to break it down, metaphorically, in Kiswahili ofcourse (I really tried). Absorb whatever you can, and dope track this one.
"Throughout my change to grow, Some of my people got left behind/
They didn't listen for the gun, as I leaped from off the line/"
Kwenye maisha kuna wale ambao watakuwa sharp katika kufukuzia na kuzifikia ndoto zao, halafu wapo wale ambao watasinzia na kubaki kuwatazama wenzao.
"Thirteen years deep in this marathon, I'm runnin/
Paid dues, and still got bills to pay/"
Maisha ni kama mbio za masafa marefu sana, zinahitaji kufunga mkanda kisawa sawa, unaweza kuwa umefanya mengi kufika ulipo ila haimaanishi ulegeze, bado yapo mengi yanakuja.
"When I came back around the way/
Old friends gave me dead eyes, and fake smiles, half wide/
We were supposed to rid the world of danger/
These days we nod heads, and small talk like polite strangers/"
Ukishakuwa katika mstari wa mafanikio, wale uliowaacha wakizubaa watakuwa na wivu na chuki juu yako. Na pengine hazitajificha katika nyuso zao. Angalia ni wangapi leo wanampiga vita Diamond na kum-support kinafiki. Kuwa makini.
"It's natural to fall off, just land close to the tree/
I'll be there if they need me to be/"
Kuyumba kimaisha ni kawaida, ila ni vyema ukiwa na plan b,c,d.....z. Ili hata ukidondoka, angalau utabaki 'kivulini'. Na ni vyema kutowatupa kabisa hao washkaji zako, pamoja na yote, wasaidie kadiri ya uwezo wako.
"and I know all my local shorties, cuz they all know who I am/
and latey wanna flip grammar, instead of grams... Like that's the only choice they got/
They tell me how they gonna shake up the game, but came to me to see if I could give em guidance for change/
Shit y'all, I need guidance myself"
Kwenye maisha kuna wale ambao hawaumizi vichwa vyao, kwao wanasubiri wengine wafanye halafu wao wa-copy. Wanaamini since X na Y wametoboa kwa kufanya a,b,c,d nao hawana namna ingine yoyote ya kutoboa zaidi ya kufanya a,b,c,d. Watakuja kutaka mwongozo wako, na japo wewe mwenyewe unadhani pia hujafika na bado unahitaji mwongozo pia, si mbaya ukiwakumbusha kufikiria nje ya 'box' walimobanana.
"and I chisel right words to make gems/
Got fans around the world, but my girl's no one of em/
And my relationship's a big question/
Cuz my career's a clear hindrance to her progression/
Said she needs a man, and our kids need a father/
I'm not at all ready to hear her say don't bother, and break....
And this I know I can't take/ but uhh..."
Unaweza kuwa na mafanikio ki-biashara ama kazini kutokana na juhudi zako, na jamii inayokuzunguka inaona unachokifanya na kukukubali sana. Ila mkeo na familia yako wanaweza kutokuwa kati ya hao wanaokukubali cuz pengine unatumia muda na nguvu nyingi sana kwenye hizo harakati, wakati na wao wanakuhitaji. Unajua fika haupo tayari kuwapoteza kwa sababu ni watu muhimu kwenye maisha yako. so what you do?
"C. Smith said to hold on
My brother Luck said to hold on
My nigga Dave said to hold on
My nigga Mase said to hold on
Yo, Maseo, we need to hold on
Eh, yo, y'all we need to hold on"
Hook
Pos] People are you ready?
[Children] Yes we're ready!
Well, what you wanna be?
We wanna be ready!
Do you wanna lose hate for love?
Yes!
Do you wanna see these gates above?
Yes!
I said people are you ready?
Yes we're ready!
But are you willing to try?
We wanna try harder!
Do you really wanna carry some weight?
Yes!
Are you ready to design your fate?
Yes!
​
Happy Eid y'all.
"Throughout my change to grow, Some of my people got left behind/
They didn't listen for the gun, as I leaped from off the line/"
Kwenye maisha kuna wale ambao watakuwa sharp katika kufukuzia na kuzifikia ndoto zao, halafu wapo wale ambao watasinzia na kubaki kuwatazama wenzao.
"Thirteen years deep in this marathon, I'm runnin/
Paid dues, and still got bills to pay/"
Maisha ni kama mbio za masafa marefu sana, zinahitaji kufunga mkanda kisawa sawa, unaweza kuwa umefanya mengi kufika ulipo ila haimaanishi ulegeze, bado yapo mengi yanakuja.
"When I came back around the way/
Old friends gave me dead eyes, and fake smiles, half wide/
We were supposed to rid the world of danger/
These days we nod heads, and small talk like polite strangers/"
Ukishakuwa katika mstari wa mafanikio, wale uliowaacha wakizubaa watakuwa na wivu na chuki juu yako. Na pengine hazitajificha katika nyuso zao. Angalia ni wangapi leo wanampiga vita Diamond na kum-support kinafiki. Kuwa makini.
"It's natural to fall off, just land close to the tree/
I'll be there if they need me to be/"
Kuyumba kimaisha ni kawaida, ila ni vyema ukiwa na plan b,c,d.....z. Ili hata ukidondoka, angalau utabaki 'kivulini'. Na ni vyema kutowatupa kabisa hao washkaji zako, pamoja na yote, wasaidie kadiri ya uwezo wako.
"and I know all my local shorties, cuz they all know who I am/
and latey wanna flip grammar, instead of grams... Like that's the only choice they got/
They tell me how they gonna shake up the game, but came to me to see if I could give em guidance for change/
Shit y'all, I need guidance myself"
Kwenye maisha kuna wale ambao hawaumizi vichwa vyao, kwao wanasubiri wengine wafanye halafu wao wa-copy. Wanaamini since X na Y wametoboa kwa kufanya a,b,c,d nao hawana namna ingine yoyote ya kutoboa zaidi ya kufanya a,b,c,d. Watakuja kutaka mwongozo wako, na japo wewe mwenyewe unadhani pia hujafika na bado unahitaji mwongozo pia, si mbaya ukiwakumbusha kufikiria nje ya 'box' walimobanana.
"and I chisel right words to make gems/
Got fans around the world, but my girl's no one of em/
And my relationship's a big question/
Cuz my career's a clear hindrance to her progression/
Said she needs a man, and our kids need a father/
I'm not at all ready to hear her say don't bother, and break....
And this I know I can't take/ but uhh..."
Unaweza kuwa na mafanikio ki-biashara ama kazini kutokana na juhudi zako, na jamii inayokuzunguka inaona unachokifanya na kukukubali sana. Ila mkeo na familia yako wanaweza kutokuwa kati ya hao wanaokukubali cuz pengine unatumia muda na nguvu nyingi sana kwenye hizo harakati, wakati na wao wanakuhitaji. Unajua fika haupo tayari kuwapoteza kwa sababu ni watu muhimu kwenye maisha yako. so what you do?
"C. Smith said to hold on
My brother Luck said to hold on
My nigga Dave said to hold on
My nigga Mase said to hold on
Yo, Maseo, we need to hold on
Eh, yo, y'all we need to hold on"
Hook
Pos] People are you ready?
[Children] Yes we're ready!
Well, what you wanna be?
We wanna be ready!
Do you wanna lose hate for love?
Yes!
Do you wanna see these gates above?
Yes!
I said people are you ready?
Yes we're ready!
But are you willing to try?
We wanna try harder!
Do you really wanna carry some weight?
Yes!
Are you ready to design your fate?
Yes!
​
Happy Eid y'all.
Last edited by a moderator: