Recent content by Amaghana

  1. A

    Ajira Portal System Error

    Wewe jazo chuo kingine ambcho unajua hiyo fani yako inapatikana ukishaitwa kwenye interview hakuna shida yyte,,,,,ko huwezii ukaacha kuomba eti kisa chuo
  2. A

    Ajira Portal System Error

    Chuo weka chchte kinachotoa fani yako,,
  3. A

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Unasemaa watatoboa kwenye uchaguzi wa mwaka huu upo serious kwelii,,yaanii bado Watz wengi ni wajinga??aliyekuambia wanategemea kura za wananchi kutoboa kwenye uchaguzii ni nani?? Yaani mpaka saivii hujui kwamba upige kura usipigee CCM itabakii madarakanii tuu!!!
  4. A

    GE2025 CCM ipende isipende, jimbo la Tarime Mjini linaenda upinzani

    Acha kudangaya watu,kembaki hawezi kumshinda ester matiko hapo tarime mjinii,,,,,,kembaki ana sera gani ambaye hata hajawahii kuongea bungenii
  5. A

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Una prove vpy mkuu nisaidiee,njisi ya kuprovee
  6. A

    PSRS: Nitajuaje zoezi la kupangia Watu kazi limefungwa au kufaulu?

    Status huaga haibadilikii mpaka siku ukipataa kazi,,,utajua kama hukufaulu ukishapita mwaka mmoja Tangia ufanye interview,,maake majina ya waliofaulu yanayowekwa kwenye database yanaexpire baada ya mwaka mmoja!!!!!endelea kutembelea akaunti yako ya ajira portal mara kwa mara
  7. A

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    Acha ngojeraa,,,,,,NO REFORMS No ELECTION
  8. A

    KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Umeapload vyeti vyote vinavyohitajika na una uhakika vipo na unaweza kuvidownload tena
  9. A

    KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Nichek inbox saivii nikusaidie tatizo lako sitokuomba hata mia maake naona umeteseka Sana kwa tatizo dogo sana
  10. A

    Nimekandwa saili tatu mfululizo bila kwenda oral hata moja kwa kweli ni huzuni sifanyi tena usaili wowote

    Tatu tu unakata tamaa mkuu,Mimi nilikandwa Tano (5)mfululizo tena zingine nilipiga siku mbili mfululizo nikakandwa nikasemaa naachana na mambo ya usailii ila hasira zilipoishaa interview ya sita ndiye nilipita kwenda Oral na kupata KAZI na Tena Mimi nilikuwa natumia naulii si chinii ya laki...
  11. A

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Achana na huyo ni mzee wa masihala hakuna kitu
  12. A

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nenda kwenye Uzi wako ule
Back
Top Bottom