Wewe jazo chuo kingine ambcho unajua hiyo fani yako inapatikana ukishaitwa kwenye interview hakuna shida yyte,,,,,ko huwezii ukaacha kuomba eti kisa chuo
Unasemaa watatoboa kwenye uchaguzi wa mwaka huu upo serious kwelii,,yaanii bado Watz wengi ni wajinga??aliyekuambia wanategemea kura za wananchi kutoboa kwenye uchaguzii ni nani?? Yaani mpaka saivii hujui kwamba upige kura usipigee CCM itabakii madarakanii tuu!!!
Status huaga haibadilikii mpaka siku ukipataa kazi,,,utajua kama hukufaulu ukishapita mwaka mmoja Tangia ufanye interview,,maake majina ya waliofaulu yanayowekwa kwenye database yanaexpire baada ya mwaka mmoja!!!!!endelea kutembelea akaunti yako ya ajira portal mara kwa mara
Tatu tu unakata tamaa mkuu,Mimi nilikandwa Tano (5)mfululizo tena zingine nilipiga siku mbili mfululizo nikakandwa nikasemaa naachana na mambo ya usailii ila hasira zilipoishaa interview ya sita ndiye nilipita kwenda Oral na kupata KAZI na Tena Mimi nilikuwa natumia naulii si chinii ya laki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.