Mm pamoja na kuwa exposed, kutembelea na kukaa hoteli ya nyota tano, nakiri sijawahi kufikia hatua ya kuona hizo karatasi laini kama kifaa cha kujitawazia. Maji ndio uhakika wa kujisafisha. Hata haja ndogo kwa sisi wanaume, unajifuta tupu yako ili boxer yako isibaki na vitone vya mwisho vya...
Na kwamba huwezi kuta mtu wa bara anafanya kazi ZRB ila wa visiwani wana nafasi zao ktk ajira za TRA, yani 25% ya kila vacancies ni za watu wa visiwani.
Mm binafsi ni wa bara. Nilishaenda Zenji kwa ajili ya boot camp program. Tulikuwa watu wa bara na wengine wa kisiwani. Nilichokigundua ni kuwa aslimia kubwa wana ubinafsi, wanajiona wana akili sana, then wao ni wa bora kuliko sisi. Kingine wanaamini maovu yote yanayofanyika kisiwani mfano...
Mm nilikuwa kama ww, yan chakula napata lakn nakula kidgo tu nashiba, yani kifupi mpaka sasa sio mlaji. Ila nilivyopata kazi tu, ndani ya miezi 3 nikaongezeka kutoka 54 hadi 65. Kiwango cha ulaji ni kilekile tena sasa hivi nakula kiafya zaidi cuz hela ipo.
Leo ngoja niseme jambo. Nina miezi takribani saba tangu nianze kuishi hapa Chato mkoani Geita. Niko taasisi ya kiserikali, lakini sasa wakazi wa hapa hususani wasukuma wamekuwa na mambo ya kidwanzi sijapata kuona. Kwakuwa tunahudumia wananchi unakuta mteja mmoja anajuana na mtumishi mwenzangu...
Ajira zote serikalini zinatolea kimfumo. Ina maana ni hadi pale nafasi zitakapotangazwa ndipo ufanye maombi kupitia mfumo. Hakunaga ile just recommendation afu ndio uwe umepata
Mandela sawa alipigania uhuru wa taifa lake lakini hajawahi kuleta au kupigania uhuru wa nchi zingine Afrika lakini Nyerere alisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru. Uganda hadi kuna Nyerere Day, na Kiswahili ni lazima kusoma kama namna ya kutambua mchango wa Mtanzania katika historia na...
Niseme tu ukweli sijawahi ajiriwa lakini nilishaingia ofisi nying sana za kiserikali na wengi wao kuanzia watu wa reception hadi afisa hawana weledi kabisa na uadilifu ktk kazi hapa nazungumzia zile za kuonana na wateja kila siku. Lakini pia nilishawahi kwenda NGO takribani 6 zote International...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.