Recent content by Amafita

  1. Amafita

    Waislam wa zamani hasa Tanzania walikuwa hawanunui Toilet paper Madukani lakini siku Hizi ndio wanaongoza!

    Mm pamoja na kuwa exposed, kutembelea na kukaa hoteli ya nyota tano, nakiri sijawahi kufikia hatua ya kuona hizo karatasi laini kama kifaa cha kujitawazia. Maji ndio uhakika wa kujisafisha. Hata haja ndogo kwa sisi wanaume, unajifuta tupu yako ili boxer yako isibaki na vitone vya mwisho vya...
  2. Amafita

    Muungano bado una shida nyingi tusidanganyane

    Na kwamba huwezi kuta mtu wa bara anafanya kazi ZRB ila wa visiwani wana nafasi zao ktk ajira za TRA, yani 25% ya kila vacancies ni za watu wa visiwani.
  3. Amafita

    Muungano bado una shida nyingi tusidanganyane

    Mm binafsi ni wa bara. Nilishaenda Zenji kwa ajili ya boot camp program. Tulikuwa watu wa bara na wengine wa kisiwani. Nilichokigundua ni kuwa aslimia kubwa wana ubinafsi, wanajiona wana akili sana, then wao ni wa bora kuliko sisi. Kingine wanaamini maovu yote yanayofanyika kisiwani mfano...
  4. Amafita

    Nifanye nini niongezeke uzito?

    Mm nilikuwa kama ww, yan chakula napata lakn nakula kidgo tu nashiba, yani kifupi mpaka sasa sio mlaji. Ila nilivyopata kazi tu, ndani ya miezi 3 nikaongezeka kutoka 54 hadi 65. Kiwango cha ulaji ni kilekile tena sasa hivi nakula kiafya zaidi cuz hela ipo.
  5. Amafita

    Wasukuma Msilazimishe Wageni kwenye Nzengo/ vikundi vyenu

    Leo ngoja niseme jambo. Nina miezi takribani saba tangu nianze kuishi hapa Chato mkoani Geita. Niko taasisi ya kiserikali, lakini sasa wakazi wa hapa hususani wasukuma wamekuwa na mambo ya kidwanzi sijapata kuona. Kwakuwa tunahudumia wananchi unakuta mteja mmoja anajuana na mtumishi mwenzangu...
  6. Amafita

    Naombeni msaada

    Ajira zote serikalini zinatolea kimfumo. Ina maana ni hadi pale nafasi zitakapotangazwa ndipo ufanye maombi kupitia mfumo. Hakunaga ile just recommendation afu ndio uwe umepata
  7. Amafita

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Okay, bila shaka. Uwe na wakati mwema
  8. Amafita

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Mm pia ni mkazi wa Dodoma na ningependa kufahamu ni eneo lipi ambalo kulitokea mkasa huu?
  9. Amafita

    Kwanini nchi za kiarabu zinapingana na Quran kwa kufuta ndoa za wake wengi?

    Kuna utofauti kati ya uarabu na uislamu. Ni kama useme uzungu na ukristo
  10. Amafita

    Viongozi kumi bora kuwahi kutokea hapa Afrika mpaka sasa

    Mandela sawa alipigania uhuru wa taifa lake lakini hajawahi kuleta au kupigania uhuru wa nchi zingine Afrika lakini Nyerere alisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru. Uganda hadi kuna Nyerere Day, na Kiswahili ni lazima kusoma kama namna ya kutambua mchango wa Mtanzania katika historia na...
  11. Amafita

    Uzi wa vyakula tu

    Wow! Onion rings
  12. Amafita

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    Niseme tu ukweli sijawahi ajiriwa lakini nilishaingia ofisi nying sana za kiserikali na wengi wao kuanzia watu wa reception hadi afisa hawana weledi kabisa na uadilifu ktk kazi hapa nazungumzia zile za kuonana na wateja kila siku. Lakini pia nilishawahi kwenda NGO takribani 6 zote International...
  13. Amafita

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    Now nimepata majibu ya maswali yangu yote kuhusu NGO
Back
Top Bottom