Mbna lady Jaydee,rama dee hawapigi nyimbo zao na wanapeta tuu mkuu na shows wanapiga tatzo mmekariri utumwa
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo unaongea kuwa wasanii wananufaika lakini fiesta wanaenda kulinda majina na tofauti na unavyofikiri wewe sasa kukuza jina mfukoni huna kitu wapi wapi na wapi wasanii wana stress kibao kwanza mfumo wa uongozaji wa ipp ni tofauti na clouds je unaijua mishahara yao au ndo umekurupuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.