Coster1
Member
- Jul 19, 2016
- 48
- 11
- Thread starter
- #21
Chuo kikuu aaah basi sawa ngoja tusubri du nimechoka kukaa idle homeMleta Mada sijakuelewa unamaanisha vyuo vipi maana Kuna certificate,diploma na chuo kikuu. Kwa upande wa chuo kikuu Kuna kitu kinaitwa bodi ya mikopo na wao Wana mamlaka ya kupanga tareh ya wanafunzi kuripot chuo. Kumbuka last year vyuo vikuu waliambiwa waongeza tareh za kufungua chuo mpka mchakato wa mkopo kwa wanafunz ukamilika, mwanafunz atakapo enda kuripot basi mkopo wake haukute chuo na siyo kuanza kusubiria HAPA KAZI TU