Habari jaman walioomba nacte wakitokea diploma kuna yeyote ameshapata chuo lakni mwanzo hakuwa na GPA YA 3.5? Tujuzane jaman maana mm nlkuwa na 3.4 walposhusha nkawa na uhakika wa kupata chuo ila mpk sasa naona kmya cjapata nafasi na vyuo wameshatoa matokeo yao... Msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.