Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,525
Nilikua na mkwere kwenye ziara yake
Aaah Hongera mama, karibu sisi tupo kama hivi tunaburutwa na TCU, NACTE na HESLB.
Nilikua na mkwere kwenye ziara yake
Ni kweli mkuu tangazo linawahusu cert na dip tuu dip holder tusubiriDah m nimekata tamaa kua ni kesho maana ingekua hivo sidhani kama wangeandika vile kua tangazo linawahusu cert na dip tu
Sent from mTalk
hahahahahaaaah ni kupatwa kwa diploma applicantDuu !! tunaishi bila taarifa za uhakika kila mtu anabaki kubuni, mwaka huu kama kupatwa kwaTCU /NaCTE.
Wasenge tu hawa m'bwa wanafanya had watu tukate tamaa za kusoma
ndio haina haja,mm mwenye profile yangu ipo vilevile , ila jana nilitumiwa email na chuo kuwa nimechaguliwaNaombeni kuuliza! Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba haina haja ya kuchungulia ile account ya Nacte cas cha msingi ni kusubiria vyuo nilivyoapply watangaze majina .. Je ya kweli hayo
source please kudhibitishandio haina haja,mm mwenye profile yangu ipo vilevile , ila jana nilitumiwa email na chuo kuwa nimechaguliwa
nimetumiwa jana hiyo,lakini profile yangu haioneshi kitu
source hiyo hapo juu,walitumia emailsource please kudhibitisha
duuuh bas vyuo tulivyochagua ndo tatzo😡😡😡😡😡😡😡😡
IFMChuo gani kilichokutumia kwa e-mail?
Wasenge tu hawa m'bwa wanafanya had watu tukate tamaa za kusoma
Ulkuwa na GPA GAN??