Kuna wimbo flan wa gospel umeimbwaa na mkenya beat yake inaanza kama na kengele hivi na baadh ya msneno nnayoyakumbuka ni. "wakristo tukaze mwendo shina na njaa vitakwisha" sijui kama nimepatia sana hayo maneno ila mashairi yake yalihusu sana mateso walokua wakipata watumish wa Mungu
Kuna wimbo huwa nautafta ila siujui hata jina ila una meneno haya "nitaliaa... Nitakapockia... Nmeunganishwa na jina lako" ameimba dada mmoja hata cmkumbuki jina mwenye kuujua tafadhali.....
Umeandika vzr tu tatzo hayo magonjwa hujaelezea kwa kina nikimaanisha chanzo usambaaji tiba na kinga au chanjo wengne hayo majina ya kitaalam hatuyaelew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.