Recent content by Aloyce Urassa

  1. A

    Ungekuwa wewe ungefanya nini?

    Asante Sana mkuu kwa wazo lako.
  2. A

    Ungekuwa wewe ungefanya nini?

    Sio lazima Dar es salaam, ila itapendeza ikiwa Dar ili aweze kuisimamia kwa karibu. Honestly,sio Mimi mkuu. Ila ameniomba nimpe wazo nikakwama,ndio maana nikaleta hapa.
  3. A

    Ungekuwa wewe ungefanya nini?

    Habari za leo wakuu, Kuna rafiki mmoja yupo Dar es salaam n Ni mfanyakazi katika ofisi ya kampuni Fulani, anatamani Sana kuanzisha biashara ndogo itakayompatia walau kipato Cha ziada ili kumudu mahitaji yake zaidi ya kutegemea mshahara. Mpaka Sasa ameweza kuhufadhi Tsh. Milioni tano ila Hana...
  4. A

    Historia imedanganya na kupotosha asili ya mwanadamu

    Naomnba kufahamu. Ni faida zipi tutazipata kama tukifahamu ukweli juu ya historian ya mwanadamu?? In hasara gani kama hatutafahamu?? Kuna haja gani ya kudanganyana kama hatujui uhakika? Nadhani no bora watu wanaofanya chunguz hizo wasitoe conclusion bila uhakika Bali waache changamoto kwa wasomi...
  5. A

    TANDAHIMBA: Wanafunzi 5 waliopata ujauzito mwaka 2017 pamoja na Wazazi wao wakamatwa

    Nadhani viongoz na wadau wakae chini na kuona suluhisho bora na la kudumu juu ya swala la mimba kwa wanafunz...Wafanye uchunguzi waone visababishi vikuu na kubuni namna ya kupambana navyo kama vile kuhakikisha watoto wa kike wanapata mahitaji yao muhimu kwa wakati ili wasidanganywe hovyo na Pesa...
  6. A

    Katibu mkuu wa UNO amtaka Rais kabila ajiuzulu.

    "Huenda anashawishiwa na mataifa ya nje ili waendelee kunufaika na DRC" Hii inaweza kuwa sababu
  7. A

    Katibu mkuu wa UNO amtaka Rais kabila ajiuzulu.

    Ameona nini kizuri hvo cha kumfanya akatae kuachia?
  8. A

    Instagram imenisaidia kupata profit ya milion 8 mwaka huu 2017

    Hongera sana.Jitahidi zaidi mwakani na jitahidi kuwa na matumizi mazuri ya hela ili mwishoni ufaidi zaidi faida yako
  9. A

    DSM: Walemavu wakamatwa na polisi kwa kukaidi agizo la kutoingia na baiskeli mjini

    Kama taarifa hii ni ya kweli...wanaofanya hvo wanatafuta laana kwa kweli.Tuwaombee mioyo ya huruma kwa Mungu.
  10. A

    Kwanini siwapendi wapinzani?

    Wao ndio wana roho mbaya kushawishi maandamano yanayojenga chuki badala ya maendeleo yanayoleta furaha na amani
  11. A

    Kwanini siwapendi wapinzani?

    Nazielewa sana....na ndio maana nikaweza kufanya 'conclusion'..na sio kwamba nazielewa sana za watawala ila tu angalao zinalenga mambo ya msingi
  12. A

    TWAWEZA: Idadi ya wanaomkubali rais Magufuli yashuka kutoka asilimia 96 hadi 71 mwaka huu

    Yani huo utafiti hata kama ulishushwa kutoka peponi siwezi kukubaliana nao kutokana na kua ukweli unaonekana machoni pa wazalendo wote....Twaweza ni watu ambao kamwe hawataweza kubadili watu kwa maandishi yao.May God bless our President and give him more strength to liberate Tanzania.Wasiopenda...
  13. A

    Kwanini siwapendi wapinzani?

    Swali hili limekua kwenye akili Yangu kwa muda mrefu ingawa Mimi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa. Mara nyingi nimekua nikitizama hoja mbalimbali za wanasiasa na kujifunza mengi.Lakini nikiwa kama mdau wa amani na maendeleo chanya nimekua nikikerwa sana na hoja na jinsi ya uwasilishaji...
Back
Top Bottom