Recent content by AllyL

  1. AllyL

    Wito kwa wanaume

    daah....... aise ni kweli
  2. AllyL

    Wito kwa wanaume

    nimejifunza kitu kimpya kidogo
  3. AllyL

    Wito kwa wanaume

    hapana mkuu hajanikuta ata nini tu ni mtazamo wangu unaeza kuwa sahihi au si sahihi
  4. AllyL

    Wito kwa wanaume

    Ni mtazamo wangu kuwa "Wanawake wanatabia zinazoshahabiana na wenye siri kubwa sana" Zingatia unapojaribu kumbadilisha tabia mwanamke kuwa mvumikivu na subira maama si kila tabia ya mwanake inabadilika.Pia kaa ukijua anasiri kubwa katika uhusiano wenu ambao wewe ujui kuhusu yeye na usijtie kujua...
  5. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    u inawezekana ila sijajua nizitumie vipi au nichemshe supu bila kuunga? sijajua hapo inakuwaje
  6. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    ahsa asante kwa ushauli wako nitaufanyia kazi ivi sasa nazima kila kitu hapa alafu nione inakuwaje
  7. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    teh teh teh mchana sipati mda wa kulala kabisa labda ilo nitafute demu wa kujipigia linaweza kuwa suluhisho
  8. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    ahsante kwa ushauli lakini ivo vitu siwez kuvitumia kwakweli km tiba yenyew ndio iyo nimeshindwa
  9. AllyL

    Kutokwa na vimaji vimaji vyeupe kwenye uume

    pole nenda kapime, labda alisema haina radha na kondom
  10. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    ni kweli mawazo yapo kakini wakati yanasababishwa na ukosefu wa usingizi..ilo ndio tatizo kubwa kwangu
  11. AllyL

    ElimuTiba: Jinsi ya kujieleza kwa Daktari

    kwanza teh teh pili pole sana kwa kuugua tatu maelezo yako ya hapa nimesoma ndani dk 1 nimeelewa 100% sasa mi nakushauri kamueleze daktari kama ulivyoeleza hapo juu namiini ataelewa kwasababu yeye anayo elinu ya kuelewa zaidi na usihofie kutoka nje nchi kwani bado atabaki kuwa ni daktari tu.
  12. AllyL

    Naomba nisaidieni

    fanya sana ibada itakusaidia na pia jitaidi kujiepusha na makundi vijana unahisi wanatabia iyo
  13. AllyL

    Mtoto kutopata choo

    pole sana mara nyingi watoto wanasumbua sana ktk suala la kupata choo ila binafsi kuna mafuta yazaituni niliona wanamywesha kijiko kimoja kwa kutwa kila asubuhi akaanza kupata choo baada siku moja.jaribu hayana madhara kiafya ni tiba pia
  14. AllyL

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Naomba msaada huwa mara nyingi au kila siku kulala kwangu ni kwa shida sana yani sipati usingizi ata nikachoka baada ya majukumu mchana nitalala kwa shida pia sichelewi kustuka usiku na nisipate usingizi inafika wakati kichwa kinauma kwa ajili iyo. Nini tiba yake?
Back
Top Bottom