Recent content by Ally YK

  1. A

    Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

    Hehehe...eti picha zinatisha, ni hizo tu? na ni hao tu? sasa naanza kumwelewa PM.
  2. A

    Kule Serengeti nako Serikali inajiandaa kuhamisha Kijiji kumpisha mwekezaji wa Utalii

    Story za kwenye vijiwe vya kahawa hivyo, kwa nini Robanda na sio Park nyigoti? serikali imejenga Mahakama ya mwanzo Robanda mwaka juzi tu, ingekuwa na nia ya kuwaondoa wananchi kwa nini waendeleze makazi na huduma za kijamii? Fort Ikoma ni kambi na nadhani ndo makao makuu ya jeshi la maaskari...
  3. A

    Hivi hawa "warembo wa TBC" Eliza na mwenzako Neema, ni majimbo yaliyo huru?

    Elizabeth ni mke wa mtu na watoto kama sikosei watatu.
  4. A

    Mwambieni Spika waliorekodi tukio la Loliondo hawa hapa

    Mwehu wewe hapo ni baada ya mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama kwenda. Weka hapa ile kripu tuone kama hao wapo.
  5. A

    Je, jicho la Rais Samia litauangazia Ubatili huu ndani ya Katiba yetu unaopora Haki ya Msingi, uliochomekewa kibatili ili kuuhalalisha?

    Na kwa sasa Rais yuko na AG ambaye kiukweli ashindwe yeye tu, ila sidhani kwa sasa ataweza kuondoka ofisini as nadhani yuko na kazi maalumu alokabidhiwa kurekebisha, huenda siku za usoni tutamuona akizunguka na Rais, kweli inashangaza Rais anaenda safari za kikazi nje ya nchi na huko wanaingia...
  6. A

    Huddah akiri Juma Jux ni zaidi ya Diamond Platnumz katika kila nyanja!

    Nashangaa kumuona hivi, nakumbuka enzi za big brother na miaka kadhaa baadae kabla hajaniblock IG Huddah hakuwa na maziwa, katengeneza hayo.
  7. A

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hahahaaa...povu kama lote, kweli watu wana hasira, msamehe bure mkuu.
  8. A

    Inawezakana CDF na IGP wakapiga salute kwa mkuu wa Wilaya?

    CDF wala IGP hapashwi kumpigia salute mkuu wa wilaya, kwa IGP PGO inamtaka kumpigia salute kuanzia RC, hapo CDF hajapiga salute bali kapokea salute na ndo sababu unaona yuko mguu pande.
  9. A

    Ikulu mpya lakini bado ina muonekano ule ule wa zamani

    Kweli humu kumejaa mitoto, hili nalo ni swala la kujadili humu leo, kwamba kweli hukujua jengo litaonekana vipi ulipoambiwa na JPM anakopi na kupaste ile ya Magogoni? kwa nini hukuuliza kipindi kile? Pathetic....
  10. A

    Inawezakana CDF na IGP wakapiga salute kwa mkuu wa Wilaya?

    Amepokea salute na hajapiga salute, huwezi piga salute ukiwa mguu pande, pale DC kapiga salute na CDF akaipokea.
  11. A

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hakuna kitu kama hiko...labda kwa waratibu wa mkuo na wilaya.
  12. A

    Uamuzi wa Kesi inayomkabili Makonda iliyofunguliwa na Kubenea kutolewa leo

    Hahahaaaa...haya mabwa.wa yanachekesha sana, yani yeshajiona yenyewe ni special sana na ndo yanayostahili haki, Mbowe akikomiti a criminal offence kaonewa, akikomiti mwingine ni jambazi afungwe, ingieni field tukeni nyuma ya kibodi muone "watanzania" ni akina nani.
  13. A

    Uamuzi wa Kesi inayomkabili Makonda iliyofunguliwa na Kubenea kutolewa leo

    Taa.hira wewe huna unachokifahamu, unadhani Mbowe kuwa mpole mchezo enh? jinai haifi, muulizeni kuhusu tindikali Tabora, ugaidi Mwanza na mabomu ya Arusha bado ya Lwakatare, kumbuka wakati huo DPP alikuwa Jaji Feleshi ambaye kwa sasa ndo AG, kumbuka kwenye kikao na Rais AG alikuepo pia, kesi...
  14. A

    Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

    Hivi kwa nini hakuna option ya kufuta academic qualifications au kuifuta kabisa account!!??
Back
Top Bottom