"Nimejivua nyadhifa zangu zote ya Ubunge wa Kinondoni na vyeo vyote nilivyokuwa navyo CUF na kuamua kujiunga na CCM kutokana na kuridhishwa na CCM ya sasa na utendaji wa Rais Dk. Magufuli" - Mtulia
"Mimi ni mgeni na salamu ninayoijua ya CCM ni CCM Oyeee" - Mtulia
"Nimejiunga na CCM ili kuunga...
WA N A N C H I wa Zimbabwe wameaswa kumheshimu Rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe kutokana na kiongozi huyo kutumia muda mwingi wa maisha yake kushughulikia matatizo ya nchi hiyo, licha ya changamoto za hapa na pale.
Miongoni mwa mambo yanayotajwa kufanywa na Mugabe kwa nia ya...
Mzee huyu wa miaka 93 amekubali kujiuzulu na usiku wa leo anatarajiwa kulihutubia taifa lake.
Huyo aliyeko kushoto kwake ndiye amerahisisha ANGUKO lake, mwanamama huyo alitaka ahongwe URAIS na u-AMIRI JESHI MKUU plus nguvu ya kuendelea kuizamisha Zimbabwe kama mume wake.
Huku Bongo hongo...
*PUNGUZA MZIGO, PUNGUZA MARAFIKI FEKI PUNGUZA KABISA TENA WAPUNGUZE SANA TU;WAPUNGUZE ILI UWE MWEPESI*
*Punguza marafiki ambao ukiwaambia unataka kufanya kitu wanakujibu "utawezaaa?" Punguzaaaa!*
*Punguza marafiki ambao kutwa wanataka mchafue meza bar. Punguzaaaa!*
*Punguza marafiki ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.