Nina miaka 3 kwenye ndoa yangu na nimepata mtoto 1, ila nawashauri vijana wenzangu, punyeto ni Hatari sana aifai.
mm ilinichukua muda kuwa kabisa nilifanya kazi ya ziada sana kuacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.