Katika uzinduzi wa kitabu cha raisi mstafu ndugu BW Mkapa alitoa jumbe mbili. Kwanza alikisema chama chake kujisahau sana kana kwamba hakuna upinzani wakati upinzani upo na unakua kwa kasi kubwa sana na pia raisi mstafu alifikia mpaka kusema kuwepo na tume huru ya uchaguzi ambalo pia ni jambo...
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.
Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa...
Mkuu labda nyie ndo mnalipwa maana mnashupalia humu jf kutete wezi wa mali za nchi yenu kweli nyie mambulula wa kutupa kabisa
Asa baadae watoto mnategemea watarithi nn ktk nchi hebu amken nyievvijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.