Wagombea wa upinzani waanza kushawishiwa ili wapuuze kauli za viongozi wao za kujitoa kwenye uchaguzi

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Uchaguzi wa serikali za mtaa wa msimu huu umekuja na mambo mengi sana ya kushangaza.

Baada ya vyama vya upinzani kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa, baadhi ya wagombea wao wameanza kushawishiwa kwa kupewa ahadi mbalimbali na fedha ili wapuuze maagizo hayo na wasimame katika uchaguzi huo.

Kuna baadhi wameahidiwa kugharamikiwa gharama zote za uchaguzi na wengine wameambiwa wasiwe wajinga wa kusikiliza matamko ya viongozi wao kwani matamko mengine hayana tija kwa nchi kama hili tamko la kujitoa ni lakupuuza.

Wagombea uenyekiti wa upinzani wameambiwa kwamba wasiogope kitu chochote kwani wakisimama kwenye uchaguzi hakuna mtu yoyote atakao watisha kwani watahakikishiwa usalama wa kutosha.

Mgombea mmoja kutoka CHADEMA alipoambiwa hivyo alisema kama atahakikishiwa usalama wake basi yeye yupo tayari kusimama.

Kuhusu chama kuwa mdhamini wa mgombea, wagombea hao wameambiwa kwamba hilo ni suala dogo sana watoe shaka kabisa.

Wakuu kumekucha mambo ni moto. Yajayo yanafurahisha.
 
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.

Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa ngazi ya chini na wao wamewekeza muda na fedha zao kwenye hizo chaguzi.
 
Nimeleta Uzi hapa hapa mda sio mrefu na ndio maana ya siasa kuwa ni mchezo mchafu
 

Attachments

  • j.jpg
    j.jpg
    48.6 KB · Views: 1
Utashangaa wiki ijayo wanatunga sheria ya kuruhusu mgombea binafsi!
 
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.

Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa ngazi ya chini na wao wamewekeza muda na fedha zao kwenye hizo chaguzi.
Mkuu Ally Nyau kata yako ya Mwembesongo inaendeleaje? Karibu Dar.
 
Una elimu gani?
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.

Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa ngazi ya chini na wao wamewekeza muda na fedha zao kwenye hizo chaguzi.
 
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.

Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa ngazi ya chini na wao wamewekeza muda na fedha zao kwenye hizo chaguzi.
Kahaba wa kiume huwezi ona udhalimu wa mume wake.
 
Hapa ndio naonaga vyama vya upinzani ni vyakupigia dili tu. Sasa kuna sababu gani ya kukimbia uchaguzi ambayo utamweleza mgombea wa chama chako akakuelewa l baada ya kuwekeza kwa muda miaka yote hiyo.

Jamani viongozi wa vyama vya upinzani ebu weken huruma mbele kwanza wafikilieni na hawa wa ngazi ya chini na wao wamewekeza muda na fedha zao kwenye hizo chaguzi.
Ebu tumia akili bana siku nyingine usitumie matako kama leo
Ebu angalia kabisa sehemu CCM imepitwa bila kupingwa
Mchakato wa uchaguzi wameuvuruga ili CCM ISHINDE
Hao wanaogombea hata uwezekano wakishinda hawana pia mitaa votongoji na vijiji vilivyobaki CCM wanaweza kuweka mapolisi tu huko wakashinda


Angalia uchaguzi wa Marudio ya ubunge Temeke , Ukonga kinondoni utajua CCM wanataka nini?

Nchi imeshawashinda ila wakomaa tu
Ndio maana hata wakati wa uchaguzi wanavuruga Hawataki wananchi wachague wanayemta

Haya mambo ya ucjaguzi wanafanya kiini macho tu
Hao wanaotaka kugombea wala wasipoteze muda
 
Back
Top Bottom