Kweli kabisa kinacho mponza Chid ni wale masela wake ukipita mitaa ya Karume kule kunachimbo lao wanapiga sana mitungi na nahs akiwa na ela ndo wanamsonga ila zikija kuisha wanamuacha apambane
Nenda ukiwa umeandaa na 30,000 ya fomu,alafu utaambiwa hii sio ajira ni fursa.
Uanze semina za asubuhi mpaka jion kufundishwa namna ya kwenda kuomba pesa kwa watu wako wa karibu ili ukawekeze kwao.
Kuwa Makin Sana Mkuu io sio ajira na haina interview.
Wulize kwanza nakuja kufanya kazi gan na...
Natumia Pixel 4 sahz mwaka umepita ni simu nzuri sana Camera ipo vzur na vitu vingine ipo fresh.Shida nilinunua hii simu sikucheki Battery lake.
Battery lake ni 2800mAh ambalo haliitaji matumizi mengi ukiwa ume washa Data na Unatumia Camera sana huwa inapunguza uwezo wa Battery lake na kuwahi...
Ni hivi majuzi, katika ukumbi wa MAELEZO, tumetangaziwa kuwa Serikali ya Rais Samia imetoa TZS 57 Billion katika robo ya kwanza ya mwaka 2022/23 kwa ajili ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba katika hospitali na vituo vya afya vya Umma. Kwa hakika hicho ni kiasi kikubwa na cha kutosha ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.