Recent content by ALLY ADAMU

  1. A

    Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) yaihukumu ITV kwa habari za uongo, watakiwa kuomba radhi

    DALILI YA MVUA NI MAWINGU! Nilichokiona jana sijawahi kukiona toka nimezaliwa waziri mkuu mstaafu anazuiwa kwenda kuzika? hii ni dalili mbaya! ombi langu kwa polisi mnatumiwa vibaya mkivunja amani mjue familia zetu hazitakuwa salama kamwe naomba msitolewe kafara wananchi wa sasa wamechoka...
  2. A

    Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) yaihukumu ITV kwa habari za uongo, watakiwa kuomba radhi

    CHONDE CHONDE JK! chama kinakufia ombi langu tuachie amani yetu maana nyinyi wenzetu kikinuka mnaenda ughaibuni kuishi sisi choka mbaya tunateketea mungu atakuhukumu!
  3. A

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais

    Mbona magufuli alianzia mjini foleni hamkuiona foleni kwa mgombea ukawa tu kova tenda haki!
  4. A

    Sitasoma tena gazeti la Mawio

    Ww hujitambui upo km zuzu inawezekana hata familia yako unakushinda kuiongoza!
  5. A

    Nchimbi: Sijahama CCM na sina mpango wa kuhama CCM

    Huyo nchimbi mwenyewe hana alichofanya jimboni kwake alikuwa anashinda kwa bao la mkono tu akiwa waziri alikuwa anawaonea wafuasi cdm kwa kuruhusu policcm kupiga mabomu nani ampokee huko cdm? kwa jimbo gani watamkubali?
  6. A

    Nchimbi: Sijahama CCM na sina mpango wa kuhama CCM

    Watanzania badilikeni kifikra ccm sio baba yenu km wazazi wenu waliowazaa huwa wanazeeka mwisho hufaliki! cha ajabu nini kufa kwa ccm ambayo imeishi miaka hamsini hadi viongozi wake wakuu wamechoka kifra wamebaki na siasa za matusi tu!Nenda kajiandikishe ili nayo ccm kiitwe chama pinzani!
  7. A

    ACT-Wazalendo wazomewa Shinyanga

    Watu wengine hovyo sana wakimkaa tu huyu mwizi mara fisadi unaushaidi usiwe unaropoka tu!
Back
Top Bottom