Mimi ni mwalimu (degree), nipo Mbeya, nina kiwanja cha ukubwa wa hatua hamsini kwa arobaini, ni pakubwa kiasi chake, na ninatumai kuoa mwaka kesho mapema (just home wife, maana wasomi stress tu)..
Sasa natamani nisain benki kwa lengo la ujenzi wa tathmini ya nyumba ya milioni sita, materials...
wadau nataka niwe nafanya biashara ya rim msimu wa shule zinapofungua..wakati huo nakuwa nimeshapitia mashule kadhaa na kujihakikishia soko kabla shule hazjafunga..ivo nisaidien ambapo naweza pata duka la bei ya jumla kwa katoni,ili mi niweze kuuza tofauti na zinavouzwa stationary.,mi nipo...
Habari zenu ndugu,
Kwenye cheti changu cha kidato cha nne cha mwaka 2005 nina Agr C, chem C, bio D na engl C, math F, geo D, phy sikusoma.
Nalenga kusoma certificate ya kilimo au afya. je! yawezekana na niwapi nitaweza kusoma ?
(masomo ya sanaa sidhan kama yanahuska hapo)
ahsanteni.
habarini wakuu..
Natarajia kufanya kilimo cha mahindi ya bisi, vipi soko lake liko wazi kupatikana? Na Pia, ni imaharage yapi yanauzika sana sokoni?
Naombeni kusaidiwa..
jaman napataje ile mashne ya max malipo kwa niaba ya luku na malipo mblmbl..na kwa yeyote anaejua biashara hii anisaidie mwongozo..
Natalaji muwazima..
Ahsante.
Natalaji muwazima..
Jamani kwa mtaalam anaejua namna nzuri ya matumizi ya matunda atuongoze hapa ya kwamba,
1. nimatunda yapi ambayo waweza kula kwa pamoja na yapi huwezi kula kwapamoja? mfano chungwa na tango haviendi pamoja.
2. pia je waweza kula matunda kama mlo wa asubuhi,mchana au jioni...
mi nipo wilaya ya Rungwe kunakopatikana ndizi half of tanzania na nibora kwa bei nafuu..kunanamna ambayo huwa naona wanapakia wale wanaopeleka msumbiji na nchi za jirani,lakini kwa ughaibuni kunamakotena yanayoweza kufnya kaz hyo.ila ni ndizi gani?malindi,kamban,uganda,doni,mshale,toki au mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.