Sasa kama mungu mwenyewe hapendi mabaya inakueje kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana na kwanini amshushe duniani huyo shetani kwani wakati anamuumba hakulijua hilo vipi uwezo wake wakujua mwanzo na mwisho wa kila kitu kabla hajakiumba?
Hongera sana mleta mada nimejitahi kufatilia hii mada kwasababu kuna maswali mengi huwa najiuliza bila kupata jibu lakini sasa kidogo nimeanza kupata mwanga kidogo naendelea kufatilia labda nitapata jibu huko mbele heshima kwako Kiranga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.