Kwa namna kisukari kinatesa watu nchi hii tena asilimia kubwa walau wanauchumi wa kubadilisha mboga atakaegundua dawa inayptibu ndani ya mwaka tu anakua billionaire.
Wapo wengi wanajisifu wanatibu kisukari ila mpka Sasa hakuna hata mmoja mwenye dawa inayotibu labda kupunguza makali tu.
TEHAMA IIIC kama hawakua na mpango wa kuwaajiri si wangesema TU. Hii kufanyisha interview halafu huajiri hata mmoja sio vzuri.
Hata TEHAMA IIIB Walitangaza nafasi 50+ ila walioajiriwa hata 10 sidhani kama wanafika.
Mm naona wew ndie MWenye matatizo.
Umekua dhaufu mpka unafokewa na shemeji si ufala huo.
Ukiendelea kua zoba utateseka sana watakuendesha kama gari bovu.
Malipo yapo kwenye process,
mafundi wanarekebisha mitambo server zimezidiwa,
subirini Kila kitu kitakaa sawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani kabla ya kulizwa kauli hua ni hizihizi hazibadiriki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.