Nawashukuruni sana wadau kwa mchango wenu juu ya tatizo langu! RIWA, KAPOTOLO na wengneo wengi nawashukuruni sana! Japo kuwa nipo mkoa wa mbali kidogo na mchumba wangu lakini niliweza kumshauri na kumsihi na yeye aingie JF hapa kwenye JF doctor ili na yeye aweze kugundua tatizo lake liko wapi...
Ni matumaini yangu kuwa wana JF wote ni wazima! Kiukwel wakuu huwa natamani sana kujifunza na kuijua sana Adobe photoshop! huwa naona wivu sana pale napoona baadhi ya picha zikiwa zimefanyiwa mautundu! Mara nyani kavaa miwani mara kichwa cha mtu kimevalishwa mwili wa nyani nk! Huwa natamani sana...
Kwel bana coz nakumbuka ilikuw inaleta mambo hayo hayo ya leseni! Nitajaribu ku2mia modem tofauti coz yeye ali2mia ya zain! Je niki2mia ya zantel itanibidi nichukue bundle la saizi gani ili isije kukata kabla haijamaliza ku update?
Kilimasera.... Nakumbuka wakati jamaa huyo anafanya installation hyo ilifika sehemu akaingiza email address yake afu akai2ma ndo ikaendlea kufanya installation! Nkamuuliza mbona ume2ma hyo address? Akasema kuw alinunua Orijino CD hvyo ni lazima a-post hyo anwan ili wamiliki wa hyo anti virus...
Mkubwa kuna jamaa kanunua CD yake ya anti virus kaspersky 2010 na ina key zake! Je akishai2mia kwenye computer yake,je na mm ntaweza ku2mia CD hyo hyo na key zile zile ku-install kwenye computer yangu? Au itanibidi niwe na key nyingne? Na kma itanibidi niwe na key nyingne ntazipataje? Nisaidie...
Yale yalioandikwa kwenye biblia ndo yanajidhihirisha wazi wazi! Mazee zile cku zilizoandikwa kwenye biblia ndo zinakaribia! Kaeni mkao wa ku2bu na kujiandaa kwa cku hyo! Sio babu tu, nackia kuna bibi ashapatikana tena huko tabora! Eti wameoteshwa ndoto!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.