Recent content by Alisina

  1. Alisina

    Nimekaa Leo nimemsikiliza mzee Warioba kwa umakini, huyu mzee hafai kabisa!

    CCM Nchi isha washinda, mpo mpo tu kama wendawazimu.
  2. Alisina

    Sikiliza interview ya Oscar Kambona ya Mwaka 1968, akizungumzia udikteta

    Yeah, na hii ndio hasara moja wapo katika nyingi hasara za Mfumo wa kijamaa.(Hasara/matokeo hasi ya ujamaa -Raia wanakuwa waoga sana dhidi ya viongozi wao, viongozi hujiona Miungu Watu, Raia Wengi wanakuwa hawana uthubutu wa kutosha wa Biashara & Ujasiriliamali, freedom of speech inabanwa,Brain...
  3. Alisina

    Sikiliza interview ya Oscar Kambona ya Mwaka 1968, akizungumzia udikteta

    Kiangazii ya mwezi wa Saba Mwaka huu, kulitokea msiba Mtaani, siunajua tena mizizi ya ujamaa wa mwalimu Nyerere Bado imeshikamana kiaina. Hivyo kuhudhuria, kuwafariji wafiwa haina budi, Mtu asipotia mguu katika msiba kwa Sababu mbalimbali, Bado ataonekana roho katili,roho isio na utu,roho ya...
  4. Alisina

    Sikiliza interview ya Oscar Kambona ya Mwaka 1968, akizungumzia udikteta

    Maneno ni tofauti na vitendo, Interview chache za kambona, zinaoneesha uwezo wake wa kutafakari na kuchambua mambo. "Smart". Hatuji kama angelichukua uongozi wa nchi (Rais) Nchi hii ingelikuwaje. Banjamin Mkapa katika kitabu Chake Cha my life my purpose, anasema, Oscar kambona alikuwa...
  5. Alisina

    Sikiliza interview ya Oscar Kambona ya Mwaka 1968, akizungumzia udikteta

    Mh, Mbona umechelewa kuiona. Hiyo interview Huwa ninayo, nimehifadhi, nairudia rudia. Ulishawahi kuwekwa Jamii forums hapa, Miaka ya nyuma huko.
  6. Alisina

    Hayati Julius Nyerere ni sehemu ya matatizo ya sasa Tanzania

    Haupo mbali na ukweli. Jk Nyerere=Socialist paradise/Communist paradise=Illusion paradise.
  7. Alisina

    Kwani Wayahudi waliikosea nini Dunia!.?

    Who killed Jesus??. Sababu zipo nyingi, Moja ya sababu. Ukristo. Ukristo umesaidia sana kupalilia mbegu Ya, chuki kwa wayudi, Wayudi walimkataa Yesu-kristo, wakamsulubisha, wakamtundika , wakamuua, Wayahudi wameua kristo/masihi wa bwana, Mungu. Askofu wa sordi Melito karne ya aliyepata...
  8. Alisina

    PostGE2025 Aliye karibu na Askofu Gwajima mwambie ahame Location, wajinga washanasa

    Kuandika kwenyewe taabu tupu, unashindwa. Kazii bora ya elimu inayotolewa na CCM.
  9. Alisina

    PostGE2025 Orodha ya wazee waliokuwa wanaheshimika ila wamekuja kupoteza heshima yao mwishoni kabisa

    Hakuna jema litokalo CCM. Mimi mbona wote hao nilikuwa naona jau, nilikuwa siwatilii manani hata sekunde.
  10. Alisina

    PostGE2025 Muliro: Tutaendelea kuwakamata wanaopanga njama za uhalifu

    Mahojiano ya Dw, aliyakambia maswalii, nakukata Simu.
  11. Alisina

    Uliwahi kusoma kitabu kipi kizuri hadi hivi ukikikuta unatamani ukinunue?

    Vipi Mr, ushawahi kupitia hili gombo, The origin of Satan by Elaine pagels. Huyu mwanamama mwanahistoria na professor wa religious Princeton university. Nyuma kidogo nilipitia Vitabu vyakee vingi. Sawa na Bart d erhleman, ambao katika agano jipya (historia yake, Textual criticism, dogma...
  12. Alisina

    GE2025 John Heche: Sisi hatutaki kushinda uchaguzi kwa sababu CCM wamegombana

    Kwelii kabisa, hii ipo wazi Kama Jua la Saa sita mchana. Ni lini sisiemu watasema sasa Tumechoka kufanya dhuluma? Nadhani hakuna. Waondolewe kwa Negotiations au Revolution??!! By any means necessary.
Back
Top Bottom