Kuhama ofisi haisaidii kwani huko utakapohamia unaweza ukavutiwa zaidi na engine kuliko Huyo.
La msingi mkabidhi mungu maisha yako kama kweli unahitaji mabadiliko katika maisha yako
Siku zote thamani ya m2 ni kubwa kuliko hiyo mahari, kuna m2 anayeweza kumnunua m2 kwa wazazi wake?. Hivyo bac wanaume watambue kuwa mahari ni kama shukurani kwa wazazi au ni utamaduni flani ktk suala zima la ndoa na co mahari iwape kiburi na kuvuka mipaka.
samahani mkuu kwa kuingilia swali lako na pia cwez jua mmezoeanaje kiac hicho but kwa jinc ninavyompenda na kumheshimu mama yng na kina mama wote duniani swali lako limenitoa machozi. Nakuomba ww na wengine 2cwapoint wazazi we2 ktk mambo km hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.