Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,467
Huu ni uzembe usiopaswa kutetewa, juktmu kubwa la mwanamke ni house keeping, jukumu la usafi wa mwili wako wako ni jukumu lako mwenyewe.ww ulimuona boy wako ajanyoa unazani ote tupo hivyo? kuna wanawake wanawajali wanaume zao kama wako umjali pole!
Huu ni uzembe usiopaswa kutetewa, juktmu kubwa la mwanamke ni house keeping, jukumu la usafi wa mwili wako wako ni jukumu lako mwenyewe.
Kama mke wako amesafiri huo usafi akufanyie nani? na mtu ambaye hana mke na kama ana rafiki wa kike labda kwa mwezi wanaonana mara mbili tu wake tu mkapa wanuke uvundo kusubiri wanawake?
Yani uchafu wako binafsi umsingizie mwanamke? sasa mtataka hadi kuchamba akuchambishe mwanamke.
Kuna wanaume humu hata cosmetics shop wanadhani ni kwa ajili ya wanawake mtu unanuka kama beberu halafu unasingizia mwanamke, ina maana humu wote wanaishi na wanawake?
Good boy!
na wewe ufukunyuku umekuzidi! lakini mimi nywele asili yangu, mwili mzima nina minyweleeee, kunyoa huwa najimwagiamaji moto ndiyo yanapukutika! Lakini nyie wadada ndiyo mnapenda kufuga vijimsitu hukochini, halafu siku hizi mnanyoa kiduku!Sikushangaa kukuta huku ahhah
kabla hujanificha, we umeyaonea wapi hayo ka sio kwa mpnz Wako? Unadhani wote Wako ivyo?
hahaha maji kayavulia nguo kwa nini asiyaoge?jamani tabibu mtaratibu mbona unataka kuwa tabibu mkorofi? Muache mwenzio akajifiche maana wakija wahucka patachimbika hapa. Hali ya hewa iki2lia ndo atajitoa huko aliko akupe majibu
na wewe ufukunyuku umekuzidi! lakini mimi nywele asili yangu, mwili mzima nina minyweleeee, kunyoa huwa najimwagiamaji moto ndiyo yanapukutika! Lakini nyie wadada ndiyo mnapenda kufuga vijimsitu hukochini, halafu siku hizi mnanyoa kiduku!
Huu ni uzembe usiopaswa kutetewa, juktmu kubwa la mwanamke ni house keeping, jukumu la usafi wa mwili wako wako ni jukumu lako mwenyewe.
Kama mke wako amesafiri huo usafi akufanyie nani? na mtu ambaye hana mke na kama ana rafiki wa kike labda kwa mwezi wanaonana mara mbili tu wake tu mkapa wanuke uvundo kusubiri wanawake?
Hapa ni mwendo wa viparaa!, Brazilian wax baby!!!
Ahhhha ulijuaje kama hukuwapekua
hahaha maji kayavulia nguo kwa nini asiyaoge?[/QUOTE
Duh!, my dear I've concluded jinsi ambavo nyie viumbe mlivo wa ajabu,kuongea muongee nyie wakiongea wengine wanatapika, nyie me msiambiwe ukweli?! Kama mnayafuga kupitiliza in other parts of your bodies chances are, you do the same in that area where your brains settles, and I don't mean above the shoulders, I mean below the waist!...message sent and delivered!, you can swallow it with a slice of lime if y'all wish....baaa!
Hapa ni mwendo wa viparaa!, Brazilian wax baby!!!