Recent content by Alicia sucre

  1. A

    Nauza Startimes 40k complete

    Uko wap?tupia namba hapa
  2. A

    Naomba kujua mwanzilishi wa cocacola company worldwide

    Wakuu msaada mwenye kujua kuhusu mmiliki wa hio company?
  3. A

    Watu ndani ya Mlimani city Mall

    Umenena mkuu big up
  4. A

    Nini kinasababisha mtumiaji wa bangi 'kupauka'?

    Jibu ni hili,bangi inakausha maji ya mwilini kama pombe kitaalam wanaita dehydration.ila kwa bangi mwili hupoteza maji mengi zaidi ndio maana mwili hukauka kama una kwashiokor.nakushauri ingawa bangi si nzuri kabla ya kugonga kijiti kunywa maji mengi sana then jilipue.nasubiri mrejesho mkuu
  5. A

    Natafuta kazi ya sheli

    Acha up oyoyo kiduku tushakariri shell ni kituo cha mafuta full stop.usituletee elimu za kujifanya unajua.nyoooo
  6. A

    Hassan Ngoma: Nakubaliana na Dr. Magufuli hata sisi tulifaulu Kwa kudesa pale UDSM

    Sijawahi kumuelewa huyu ngoma na sitamuelewa kamwe
Back
Top Bottom