Jibu ni hili,bangi inakausha maji ya mwilini kama pombe kitaalam wanaita dehydration.ila kwa bangi mwili hupoteza maji mengi zaidi ndio maana mwili hukauka kama una kwashiokor.nakushauri ingawa bangi si nzuri kabla ya kugonga kijiti kunywa maji mengi sana then jilipue.nasubiri mrejesho mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.