Kwa hiyo mtu asijisifie ana hela kama anapata pesa zake kihalali anaweka benki mnamsumbua ya nn acheni kuongozwa na chuki mwongoze kwa haki na kufata sheria
Kwanini wafunge barabara aisee so wakasali ndani ya maikiti mbona sheria hairuhusu kwa nn wahusika hawakemei mpaka mtu aje jf ni aibu kwa watawala wa eneo husika kama eneo ni dogo watafute mahala pengine pa kuabudia hiyo ni barabara sio msikiti
Mkuu hamna dharau mbaya kama hiyo yani mke wa MTU anarudi SAA nne usiku ?? Yani umemchelewesha nakuambia isitoshe hana hoja ya msingi. Wanawake wengine wanachepuka lakini wako kaongeza na dharau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.