Niito Ole Saiforani,mtu hachaguliwi rafiki umeamua wewe hayo ni mawazo yako.Nimeshaona mlengo wako.Wewe unapigana na mtu amabaye amefungwa mikono na miguu kwenye mti halafu unajisifu kumpiga nitakuita mpumbavu.Mnavunja sheria kila iitwapo leo halafu unaleta majungu yako hata hamuogopi...
Radial la Tanzania hatujui maana ya kazi,na zaidi sana tunawaza kula kabla ya kazi,zaidi ya yote mtanzania ukimshauri anaona kama unamndolea heshima.Bila kujua maana ya jazi wimbo ni uleule.
Kwa namna hii nchi haiwezi kipona CCM ni kichaka cha ufisadi kwa kuwa kinashika dola.Kwa namna hii wa uovu wa mtu kionekana akitoka CCM ni janga,na hapa mzizi ni KATIBA ya rasimu ya mzee Warioba.
Haya maamuzi mengine yasiyofuata sheria ndugu zangu,tumefikia mahali pabaya.Watanganyika tumejaliwa na Mungu kuwa wavumilivu sana tu,lakini watawala wetu mnaitumia dhamana mliyopewa na Mungu kinyume na mapenzi ya Mungu.CHEO NI DHAMANI.Na kumbukeni kiapo mnachoapa wakati mnakabidhiwa mamlaka...
Halafu wanadamu wengine bhwana ni wa ajabu sasa ADC mnatafuta nini?.ADC ni nani?.Kwanza mmejitokeza wala hamjamwelewa vizuri fuatilieni vizuri maelezo aliyoyatoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ana haki kikatiba kutoa mawazo yake.MsemajiUkweli wewe ni mwongo na wala hujaelewa hija za Mh.Lisu,wewe kula tu,kwani mimi nimkuelewa.Jihadhalini na hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaagiza akamatwe kwa amri ya nani?yaani mmejimilikisha mamlaka tu wala hamufuati sheria,na wewe ukamatwe mzushi wewe.Ndiyo maana mnakosha ushirikiano ktk tafiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.