Recent content by alexander1

  1. A

    Mbowe na Slaa watumia mradi wa magari ya M4C na pikipiki kufisadi ruzuku ya chama

    mbona tunakufahamu wewe unafikiri ukitumia ID ya TUNTEMEKE ndiyo itakubadilisha uhalisia wako? utakufa kwa majungu dogo kwenye umri kama wako unatakiwa ujitume ufanye kazi siyo majungu. we hamna siku umeleta mada hapa bila kumtaja D.slaa hata kama ingekuwa kweli kamwe hawatakuamini watu...
  2. A

    Mahojiano yangu na Mtanzania: Nitagombea uenyekiti wa BAVICHA

    hiyo kichwa chako kimejaa matope kabisa hata hayo mahojiano sijui ulikuwa unahojiwa ukiwa umelewa kwa uzoefu wangu ulikuwa unajihoji mwenyewe ukaamua kutuletea pumba zako hapa.
  3. A

    Haijawahi kutokea... Zitto afunika Kasulu mjini, CCM, NCCR Matumbo moto!

    namshauri ZZK aelekeze nguvu kubwa kwenye M4C na ikibidi azunguke mikoani kama enzi za operesheni sangara na awapuuze vijana wanaoshinda humu jf kumgombanisha na viongozi wenzake. bigup ZZK ''FUATA MISINGI USIFUATE WATU''
  4. A

    Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

    Jitahidi labda utaeleweka lakini navyoona umeshachelewa tafuteni lingine watanzania shida yao siyo kadi ya chama fulani, wanachotaka namna gani ya kutatua matatizo yaliyo mbele yao
  5. A

    Haya sasa mishahara yenu tayari

    kama ww uko hapa sisi tutafanyeje?mwl nyerere alisema viongozi muwe mfano ndiyo hivyo tunaiga mfano wako
  6. A

    Hawa ni wahuni ndani ya CHADEMA - Na Evarist Chahali

    wahuni watajichuja tu, na boss wao anajulikana kashaanzisha CHAUMA sijui anasubiri nini kuondoka cdm
  7. A

    Zitto & Dr. Slaa Kaeni kitako katika hili

    hivi zitto sanasana kafanya nini kukijenga chadema?nachojua ni mlevi wa misifa na kujipendekeza kwa watawala tu hamna cha maana cha kumfananisha na slaa na yy analifahamu. Mbona kuna kina lisu hawajigambi na wako chadema na wana mchango mkubwa kupita zitto, huyu kijana lazima kuna wire...
  8. A

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    wanakuwa na kiburi wakiwa ndani ya chama, wakishafukuzwa hawana ubavu tena chadema mnalea matatizo hata huyo zitto mnamuonea aibu at the end atawagharimu sana should take action now
Back
Top Bottom