Recent content by alex ytpamba

  1. A

    Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

    Mahusiano ni complex ishu sema wengi wetu tunayachukulia easy tunakurupuka ovyo siku mbili tatu kila mtu anachukua time alafu mnaona watu wabaya
  2. A

    Pendekezo kwa Wizara ya Elimu: Walimu wafanyishwe mitihani wachujwe na shule za kata zipunguzwe

    Ila mimi swali langu ni kwamba walimu waliojiriwa katika awamu hii ni wachache.Waalimu wengi ni wale wale wa toka kipindi cha kikwete mbona kuna shule za serikali zilikuwa zinajitahidi?
  3. A

    Pendekezo kwa Wizara ya Elimu: Walimu wafanyishwe mitihani wachujwe na shule za kata zipunguzwe

    Mtoa mada tunakupuuza tu kwa sababu (no research no right to speak) Na mambo ya kufanya maamuzi bila research ndo yametufikisha hapa tulipo so ni bora tutulie ifanywe research ndo tuamue
  4. A

    Pendekezo kwa Wizara ya Elimu: Walimu wafanyishwe mitihani wachujwe na shule za kata zipunguzwe

    Ishu ni hivi huwezi kuchuja waalimu na wakati hata huyo mbovu huna je ni shule ngapi za kata vijijini hazina walimu wa sayansi na baadhi zilizonazo unakuta mwalimu mmoja ana madarasa kibao. Suala lingine mazingira mabovu kuanzia ndani ya shule mpaka mtaani wanafunzi wanapoishi. Kuna swala la...
  5. A

    Kumlaumu Waziri wa Elimu matokeo mabaya kidato cha nne ni kumuonea

    Mimi bado namlaumu ndalichako kwa sababu yeye ndio mwenye dhamana ya wizara kama akiona serikali inamwingilia sana ana haki ya kukemea na kama hawajirekebishi ajiuzulu ili wakiaribu yeye awe pembeni, atuwezi kwenda kwa dizaini hii kila mtu anaamua.
  6. A

    Nimesoma Bsc COICT (UDSM), nimesoma Msc. CIVE (UDOM), naitabiria makubwa UDOM miaka 5 ijayo

    Msilete bla bla nyingi ishu ni kwamba UDSM kwa sasa hivi imebaki jina tuu. UDSM ilitakiwa iwe kwenye kumi bora uko kama wenzetu wa Nairobi university (9) ila mnatutia aibu Tanzania Chuo ni kikongwe bado kinashika nafasi ya 36
  7. A

    Mbunge Goodluck Mlinga asema Prof. Ndalichako hafai kuwa Waziri wa Elimu. Adai yeye, Musukuma na Lusinde wangefaa zaidi

    Tatizo kubwa watu hawapendi ukweli ukiangalia alichokifanya ndalichako ni nini kama sio kila siku kubadili grade, ulishaskia kampeni yoyote ya kuboresha elimu, shule hazina waalimu wa sayansi, miundo mbinu mibovu cha zaidi anaruhusu siasa zinaingilia wizara yake na kuchonganisha wazazi na...
  8. A

    Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

    Muda ndo utasema mi sina muda wa kubishana sana
  9. A

    Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

    alafu suala ni kwamba mtu anavyozidi kutoboa ndio hadhi yake inazidi kupande hata payment inabidi iwe tofauti sasa wao walitaka kumkandamiza jamaa kisa walimtoa so jamaa kawakataaa then wanaona ni dharau
  10. A

    Babu Tale na Salam Sk wamekuwa Mameneja wa hovyo sana wanaombebesha Diamond mzigo wa migogoro na media

    Sallam na Tale ni watu muhimu sana kwa diamond na wcb kuliko mnavyo fikiria, ila mwisho wa clouds ni WCB Radio na Tv
  11. A

    Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

    Clouds mwisho wao ni WCB Radio na Tv apo ndio clouds wanapotea jumla
  12. A

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Mi sioni jipya clouds wanajitekenya wenyewe, lakini dawa yao inakuja WCB Radio na Tv apo ndo watapotea jumla kwenye ramani
  13. A

    Kisheria, uwezekano wa Joseph Mbilinyi 'Sugu' kutokuhukumiwa ni mdogo sana

    Ila tatizo kubwa linatokana na baadhi ya wasomi kukubali kuzisaliti profession zao na kufuata matakwa ya mtu tumeona kwa wenzetu kenya majaji wanafata haki hatakama iko against na wakubwa ila bongo watu hawaelewi maana ya profession
  14. A

    Ushauri: Mume wangu hanipi tendo la ndoa, najisugua na vidole hadi nafika kileleni

    alafu stori kama hii ni short sana haiko clear je tunajuaje kama mume wako alikwambia muhame muende alipo yeye wewe ukakataa
  15. A

    Msaada nahitaji kuunlock moderm ya huawei ambayo inakubali laini ya zantel

    nimejaribu njia nyingi za you tube ila bado imenishinda msaada plz.
Back
Top Bottom