Recent content by ALEX MUNJILE

  1. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha mshahara

    TRCS 6
  2. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania KINACHOENDELEA BODI YA MIKOPO NI SINTOFAHAMU NA KIMYA KIZITO

    mhhhhhhhhhhh mbona vyuo awamu ya 3 bado hawajatoa sasa itakuwaje sua wapate?
  3. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa mkopo awamu ya pili kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza 2018/19

    naskia majina awamu ya 3 yametoka naomba mtutumie website yao maana kila nkiingia heslb hapafunguki
  4. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    mimi ninachoamini hakuna kinachoshindikana kama una nia na ali ya kujifunza
  5. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo ni shida tu

    hakuna majina hewa kutoka bodi ya mkopo ila wewe ambae ulienda chuoni na hukukuta jina lako halipo jichunguze vizuri ulikubaliwa na vyuo vingapi na kipi kilikua cha kwanza kukuchukua? maana kuna watu awamu ya kwanza walichaguliwa chuo kimoja lakini wao waliomba kiubishi mara ya pili na...
  6. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    hakika engneers wote waliotoka DIT na wanaoendelea kutoka hapo huwa hawana mchezo kazini na huwa wapo tayari kufanya kazi usiku na mchana ili kumaliza kazi kwa wakati au kabla ya wakati
  7. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania HESLB

    Jamani bodi ya mkopo mtuhurumie sie maana semister jumatatu ndio inaanza na hadi saivi kuna baadhi ya vyuo havitupokei kwa sababu hatujajua hatima yetu kwenu. hivyo tunaomba mya post ayo majina basi maani toka mwezi wa tano bado tu mnayafanyia utafiti?
  8. ALEX MUNJILE

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaaafu Dr. Kikwete 'ateta' na Rais Magufuli Ikulu leo

    Ni vizuri kutembeleana kwao
Back
Top Bottom