ALEX MUNJILE
Member
- Oct 31, 2018
- 8
- 9
Jamani bodi ya mkopo mtuhurumie sie maana semister jumatatu ndio inaanza na hadi saivi kuna baadhi ya vyuo havitupokei kwa sababu hatujajua hatima yetu kwenu. hivyo tunaomba mya post ayo majina basi maani toka mwezi wa tano bado tu mnayafanyia utafiti?