Mkuu kama katoa zaidi ya mwezi mmoja hata kwenye vipimo huwez kupata jibu sahihi ing'ekuwa chini ya hapo ung'efanikiwa pia kuna mabadiliko ya kimwil mfano kuongeza matiti, nyonga kutanuka unaweza kufanya utafiti kidogo
Kwa mkimbiza mwenge sijajua vigezo na taratibu zinazofanyika kumpata huyo mtu but nimeona mara nyingi udungu upo katka hili, kama 2012 alikuwa Capt. Wa jwtz na alikiwa mtoto wa kigogo fluni,, hii Issue malipo yake ni manono mno so kwa mtoto mlala hoi kupata hili shavu ni shida,, pia anakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.