Mkuu kasema ana 26Yeye ana 32
Wewe u atafuta mume au sugar dady!! Miaka 35 - 40!! Unayako sio bureI'm Edith, nina miaka 26.
I have a degree
Natafuta mume WA kunioa.
Mwanaume WA until miaka 35-40.
Aliyeko serious ani pm.
Hii Ni Dunia ya Utandawazi,umekalia kukosoaaa.Wenzio wanapata humu humu Wewe kasubilie mtaani Na huko..Mnajidai kukashifi wenzenu wakati Pm.mnaenda.Kwendraaa?!!Kafate hiyo degree ikuoe
eti nina degree khaaa
Inaonesha we ni bomu sana yaani mtaani kwenu
Kanisani
Kijijni hakuna hadi wewe ndio unajitongozesha
Ona mjinga mwingineHii Ni Dunia ya Utandawazi,umekalia kukosoaaa.Wenzio wanapata humu humu Wewe kasubilie mtaani Na huko..Mnajidai kukashifi wenzenu wakati Pm.mnaenda.Kwendraaa?!!
Tayari zamaniiii tunajaza Dunia tu.Baki ivyo ivyo !!!!!!Ona mjinga mwingine
haya we nae subiria uone kama utapata humu ndani
Mtaani kwenu mharibu afu mnakimbilia ni mida ya utandawazi.......
wana pesa au kazi zenye kipatoKwa nini umeweka age 35 - 40 below wana nn kwani
Mh !!Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke sia ajabu unataka wanawake wawe banned love connectYaani nikiona matangazo ya wanawake wenzangu humuu...nasikia wivuuuuu
nawaza mume wangu mtarajiwa asije akafika PM huko...mweee
Mzee za sikuMie umri wangu until 25 sifai enhee
Mzee za siku
Wapi hapo mzee.. kama kuna ulaji nielekeze bwana nikaoneNzur aisee kuna sehem nmeona jina lako
Wapi hapo mzee.. kama kuna ulaji nielekeze bwana nikaone
Bila shaka hiyo fursa... nielekeze jukwaa.Kuna mtu anataka kukupa kipande cha ardhi uwe jiran yake
Ha ha ha kuna jukwaa jengne zaid ya jukwaa lako sio MP mzee ilikua mahala kweupeee nenda chitchat na MMUBila shaka hiyo fursa... nielekeze jukwaa.
Ila hiz taarifa zimekuaje zikapita kwanza kwako mzee au mambo ya MP?
Eti jukwaa jengine zaidi .Ha ha ha kuna jukwaa jengne zaid ya jukwaa lako sio MP mzee ilikua mahala kweupeee nenda chitchat na MMU
Mh mbna wataka wazeeI'm Edith, nina miaka 26.
I have a degree
Natafuta mume WA kunioa.
Mwanaume WA until miaka 35-40.
Aliyeko serious ani pm.