Kwa yeyote anae kifahamu viziri chuo kinacho itwa Al-MAKTOUM COLLEGE OF ENGINERING AND TECHNOLOCY
Naomba anijuze ubora wa chuo au una weza kunichek 0718070205 ili anielekeze vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu kama kuna mtu yeyote umu ambae ana nufaika na mikopo ya elimu ya juu katika hilo shirika
Ani tafute kupitia number 0718070205 kuna mambo nahitaji kujua ahsanteni sana kwa ushirikiano wenu.
Ahsanteni sana kwa ushauri wenu nime chaguliwa hiyo course ndo mana niliomba kujua upande wake wa ajira ukoje ila nashukuru sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Advance ndo ilivo kaka kukata tamaa ni mwiko komaa2 ila ukizidiwa nenda chuo2 mana PCB na PCM ndo zina ongoza kutoa zero
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Ila wame andika pale ktk website yao wana chukua Cs 3 so uwe na point 6 kwa walio maliza 2013 na point 9 kwa walio maliza 2012 kurud nyuma na hizo point wana angalia PHY,CHEM & MATH so hii ime kaaje mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.