"Mheshimiwa Spika, ni dhahiri kwamba binadamu wanahitaji rasilimali adhimu za mazingira kwa maisha yao. Hata hivyo, matumizi yasiyo endelevu ya rasilimali za mazingira huleta majanga na kuhatarisha maisha ya binadamu. Hali na mwelekeo wa mazingira ya nchi yetu ni mbaya kiasi cha kuzorotesha...
Ndugu mtoa mada, mawazo yako ni mazuri lakini yangekuwa mazuri zaidi kama ungepitia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira. Hii ni sehemu ya hotuba ya bajeti.
"Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2016/17, Ofisi itasimamia na kuratibu Kampeni ya Taifa ya Upandaji...
Wanaofanya vurugu ni sehemu ndogo sana, tena sana ya watu wa Afrika Kusini. Kufanya malipizi ni kutenda dhambi bure kwa sababu watakaoadhiriki ni watu wasio na hatia hata kidogo. Jambo la faraja ni kwamba tumeona serikali ya Afrika Kusini kwa nia ya dhati ikilaani na kutumia mbinu zozote kuzima...
Hapa nakubaliana na wewe. Wayahudi si taifa,ni kama kabila tu ambao wanaweza kuwa raia wa taifa lolote. Kwa wale wasiojua, wapo wayahudi tele wanaopinga Israel sehemu mbalimbali duniani. Ni kweli kwamba Hitler aliwaua wayahudi ila idadi ni debatable. Hili la kudhani kwamba kila anayepinga...
Kama serikali inahusika katika kusimamia mikataba ya kazi kwa watanzania wanaoenda kufanya kazi huko basi sidhani kama kutakuwa na tatizo kubwa sana lisilofahamika. Kuna hulka ya binadamu kunyanyasa binadamu wengine, hata hapa nyumbani wafanyakazi wa ndani wananyanyasikwa kwa watanzania wenzao...
Ninyi wakina nani? Mtamwaga damu ya kina nani? Kinachowapa kiburi kwamba mawazo yenu ni halali kuwafanya mstahili kumwaga damu za wenzenu ili mawazo yenu yapite ni nini?
Kaka sasa nimeg'amua kuwa ile thread uliyoanzisha kuhusu maendeleo ya Bumbuli ulisukumwa na maslahi binafsi. Kama ni maendeleo ya jimbo, January amefanya makubwa kuanzia mikopo nafuu, barabara, umeme na kikubwa zaidi kutimiza ahadi ya kuwapatia wananchi wa Bumbuli halmashauri ili kusogeza na...
Wakuu,
Niliweka luku ya sh 45,000 tarerhe 1 mwezi huu katika nyumba yenye vyumba 4. Jana niliporudi nyumbani usiku umeme ulikuwa umeisha. Je, ni kawaida au luku yangu ni mbovu?
Udogo kwenye siasa ni nini mkuu. Angalia au soma historia za uongozi wa wafuatao walioshika madaraka makubwa katika nchi zao wakafanya mambo yanayokumbukwa duniani wakiwa na umri mdogo.
1. Mwalimu Julius Nyerere - Alishika madarka akiwa na umri wa miaka 39. Wote tunajua mchango wake hata wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.