Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi kwa ufupi zaidi,mwaka 2010 ndugu j,makamba alikuja udom akakusanya wanafunzi wote wanao tokea tanga na wakutoka mikoa mingine,tukaitika kwa wingi katika kikao kile akaomba tukamsaidie bumbuli kupiga kampeni achaguliwe kuwa mbunge kuanzia kura za maoni CCM.
Baadae katika uchaguzi mkuu kwa ahadi kuwa vijana wote watakao msaidia akipata ubunge atawasaidia kupata ajira za maana popote pale.
Kama kawaida ya wasomi sisi vijana tukaorodhesha majina yetu na tukaenda bumbuli kwa umoja wetu,tukamsaidia harakati zote mpaka akapata ubunge kirahisi. Baada ya kampeni akagawa namba zake na email kila mtu amtumie cv zake tukafanya hivyo mwaka wa 4 sasa hakuna aliepata hiyo ajira hata ya kusambaza bili za maji mitaani.
Ukimpigia simu hapokei kabisa kwa sasa,hivyo vijana kuweni makini ccm hakuna mzuri hata awe nani wote wanaishi kwa ujanja ujanja tu! Wale wanao jiita walimu vijana kuweni makini.
Baadae katika uchaguzi mkuu kwa ahadi kuwa vijana wote watakao msaidia akipata ubunge atawasaidia kupata ajira za maana popote pale.
Kama kawaida ya wasomi sisi vijana tukaorodhesha majina yetu na tukaenda bumbuli kwa umoja wetu,tukamsaidia harakati zote mpaka akapata ubunge kirahisi. Baada ya kampeni akagawa namba zake na email kila mtu amtumie cv zake tukafanya hivyo mwaka wa 4 sasa hakuna aliepata hiyo ajira hata ya kusambaza bili za maji mitaani.
Ukimpigia simu hapokei kabisa kwa sasa,hivyo vijana kuweni makini ccm hakuna mzuri hata awe nani wote wanaishi kwa ujanja ujanja tu! Wale wanao jiita walimu vijana kuweni makini.