Mimi nilinunua umeme wa shilingi 14,000 kwenye mita ya zamani namba 04167568379 nikapata unit 19 lakini mita ilikuwa inatakiwa kubadilishwa na hivyo umeme haukuingia. Nikabadilishiwa mita mpya namba 43524416005 nikaambiwa nijaze fomu kuomba nirudishiwe hizo unit. Mpaka leo ni miezi mitatu...
Kijana aliyemaliza form six (fresh from School) anafundisha VIZURI sana.
TUITION TUITION TUITION
ADVANCED LEVEL FORM V&VI
SOMO: ADVANCED MATHEMATICS
MLETE MWANAO NA HUTAJUTIA
MAHALI: KITUO CHA BUCHA (KWA MSABAHA) BARABARA YA WAZO KUELEKEA MADALE. MTAA WA CHELSEA.
TUITION INAANZA ASUBUHI SAA 2-...
Lini mtaa haukujazwa? Na nyumba zilijazwa sijui, sijui sijui maana yake Nini? Kwani sensa imeshafanyika? Mbona una wasiwasi? Sensa inafanyika mwezi was nane au nadangaya ndugu zangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.