Recent content by AlephMemShin

  1. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Asante kwa kulitambua hlo. natamani sana binadamu tuamke. kuna baadhi kati ya mambo mengi waliyonena wahenga inabidi 2yaquestion sana mengne hayanashida. zpo stereotype nyng kwenye jamii znatafuna wa2 kmykmy eti kisa wakubwa walisema.
  2. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Mnacomplicate sana mambo. sema tunatumia muda mwng kujifunza ilim ya secular(mambo ya mwilini) kuliko ya rohoni. laiti kama 2ngetumia muda mwingi kusoma roho zetu zpoje kusingekuw na nyuzi za namna hii. kwenye roho kila k2 ni energy na frequency ko apo ni kucheza na manipulation ya hvo v2, ata...
  3. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    hzo ni fix tu, zinaimbwa tangu enzi enzi tokea babu wa babu yangu anaimbiwa hzo ngonjera. inasktisha sana binadamu wenye maslahi binafsi(kumnufaisha aliyeleta matrix) wanaendelea kupromote narrative kongwe kwny dunia ilibadilika kwny kila sector. wanadamu tujitambue.
  4. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Ila Maisha Bwn wajanja wametulia tulii wanaenjoy energy za ulimwengu huku wengne si 2mepewa limatrix la ovyo tupambane nalo. its like mama anampa toy mtoto achezee ye aendelee na shughuli nyngne kwa amani. kwa muktadha huo mtoa mada nakupinga. prosperity au suffering za m2 ni matokeo ya machaguo...
  5. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Je unajua caballah (tree of life)?

    mkuu tiririka kdgo 2wape mwanga japo kdg hawa ndugu zetu. una muda gan unapractice hii ki2?
  6. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Nimekata mawasiliano na mama yangu kwa sababu ya maneno ya kejeli ya mara kwa mara

    Madam stori yako imenigusa humu ndani kuna watu mchanganyiko ndo mana kuna wengne wanaichukulia kiwepesi. aisee omba yasikukute. umefanya vzr kuweka hyo mipaka. mtihani wa kutengwa na mzazi kuuvuka inabid uwe na roho kwel kwel. all in all kila m2 atakufa2 so bora kuifata amani yako. Memento...
  7. AlephMemShin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    complicated algorithm kama zipi mkuu?
  8. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa mito katika historia ya mwanadamu

    Kwenye Stori Ya Ukoloni Afirika Mashariki Mid 1800s Kuna Hawa Waingereza Richard Burton(aliye Weka Kambi Ziwa Nyasa) Na Mwenzake John Speke(aliweka Kamba Ziwa Victoria). Hawa Pia Walikuwa Explorer Kwa Kufuata Mto Nile.
  9. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    yaap mkuu npo hapa hapa bongoland.
  10. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Je unajua caballah (tree of life)?

    Kwa heshima ya mkuu G11 nafufua uzi kwa namna hii. kwanza ieleweke qbl is not for everyone its very disturbing study ila ni rahisi ukiielewa. tuendelee... basics: study the tree of life 1.herufi 22 za kiebrania(22hebrew letters) 2.vitufe 10 vya nishati(10sefira of energy) -vitufe vya...
  11. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Nyanda madirisha mm nlivutiwa sana uzi wa mkuu degunner nkaguswa kushare hichi ki2 japo ni kama kigeni miongoni mwa wengi ila kipo. kiufupi kabbalah ni esoteric teaching. basics ni rahisi zjue 1.herufi 22 za kiebrania. 2.vitufe 10 vya nishati(10 sefira). pia elewa mihimili mi3 ya mti wa uzima(3...
  12. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    deGunner natumia kiswaswadu operamini4 ndomana nashindwa kuquote ila 2vumiliane mkuu. nafurahi kusikia ulish2kia janja janja za kwenye tarot reading upo vzr kwny machale(instincts) means yesod-netzach intelligence yako iko vzr sana. ngj niweke vzr kabbalah imegawanyika sehemu mbili 1.traditional...
  13. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Pia mwanzon uligusia numerology. hii k2 kwny qabbalah ipo japo cjajikita saana nina idea kdg iko hv kila letter ina numeric value zake hizi 22 letters na final zake 5 ko kuna jumla ya 27letter na naonaga znakuwa labeled kwa mtindo wa(1-9 then10,100,200,300....). wataalam wa gematria ndo...
  14. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    N.B kila m2 ana tree of life ndani yake ni kaz yake kuactivate. ukisum up 10 sefira+22 letters unapata 32 paths. na hapa ndo 2napata 32 pathwalking. ndo maana hatufocus maneno kama ascending au descending we just walking the tree and not climbing the tree.
  15. AlephMemShin

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Pia kwenye michoro kwny tod unaona maneno kama thaumiel, lilith n.k hao ni archdemons. ukija kwny tol unakutana na metatron, sandalphon, gabriel n.k hao ni archangels. iko hvi yaan kila sefirot kwny hiz tree huw znaattribute malaika. nashauri focus tree of lifee haina mambo ya giza kabisa na...
Back
Top Bottom