Recent content by albt0ny

  1. albt0ny

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Pole kwa Watanzania, Pole kwa serikali na Pole kwa Chama cha Mapinduzi. R.I.P J.Magufuli
  2. albt0ny

    Natafuta Jina la Kituo cha mafuta

    Nyamsusa Oil Filling Station. Abbreviation NOIL
  3. albt0ny

    Nani aliyemuumba Mungu?

    Exactly. Hili jibu nakumbuka enzi za useminarini tulijibiwa na deacon kwa kusema ''De fide'' ni theological note inayomfanya mtu abaki na kile anachokiamini na Usiendelee kuuliza zaidiii. Don't ask and don't question any more. its a dogma.
  4. albt0ny

    Kipi bora kununua Hiace mpya kwa 30M ama kuchukua Tata Marcopolo kwa mkopo

    Mkuu kwa Idea yako ya kusimama kama konda pesa itarudi ndani ya mwaka, Chukua eicher ya milango miwili, wapiga debe wapo wengi katika kila kituo. Tegeta - kariakoo ni route nzuri sana mkuu. All the best mkuu.
  5. albt0ny

    Yanawezekana: China wazindua daraja la urefu wa 55km kutoka Hong Kong mpaka Macau

    mkuu kuna seheme ya hilo daraja wametengeneza njia ya chini ya bahari na meli kubwa zitakuwa zinapita juu na barabara yenye umbali wa kilomita sita itapita chini ya bahari.
  6. albt0ny

    Yanawezekana: China wazindua daraja la urefu wa 55km kutoka Hong Kong mpaka Macau

    Kwenye njia ya meli kuna km 6 wamepitisha chini ya bahari(under sea tunnel) hivyo meli kubwa zitapita juu.
  7. albt0ny

    Hivi kuna best diss song zaidi ya hii ya Tupac?

    chief uko deep. huyu jamaa alivyo mdiss 2 pac kidogo akapata Jina.
  8. albt0ny

    My top/best ten hip hop lyricists of all time

    2 pac Eminem NAS Jay Z Prodigy T.I KRS ONE Eric B & Rakim Eazy E Fedro Starr.
  9. albt0ny

    Nina Novel Ya Godfather Natafuta Mtu Tufanye Exchange.

    Brother Man by Roger Mais. Ninacho mkuu.
  10. albt0ny

    Car4Sale Howo truck

    Hiyo bei ni horse (tractor 6*4) tatu za Howo
  11. albt0ny

    Car4Sale Howo truck

    mkuu haifiki huko CIF price (dumping trailer) mpaka bandarin USD 31000. bila horse yake (tractor)
  12. albt0ny

    Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

    mkuu umenikumbusha mbali sana nilikua mkwawa room 5 middle. Kipindi hicho mkuu ni Mpemba. mwalimu mkongwe wa maths alikua ELIFURAHA na huyu ndo mwenye historia ya mkulu walifundisha wote.
  13. albt0ny

    TRA muache kuvizia wateja wa jumla Kariakoo

    mkuu kama ni mfanyabiashara ni muhimu na lazima kila unapofanya manunuzi ya bidhaa uchukue risiti ya efd pindi unapofanya mahesabu ya kodi risti za manunuzi zionekane pia.
  14. albt0ny

    Barua ya Wazi kwa Mh. Rais kuhusu changamoto za kibiashara na ushawishi wa Dangote kwa Serikali

    Mkuu na hayo malori si machakavu kama unavyosema ni Howo HW 371 direct kutoka kwa manufacturer sinotruk (CNHTC). kikubwa Mangi umehofia biashara kushuka kutokana na transporters watakua affected na uingizwaji wa hizo trucks.
Back
Top Bottom