Exactly. Hili jibu nakumbuka enzi za useminarini tulijibiwa na deacon kwa kusema ''De fide'' ni theological note inayomfanya mtu abaki na kile anachokiamini na Usiendelee kuuliza zaidiii. Don't ask and don't question any more. its a dogma.
Mkuu kwa Idea yako ya kusimama kama konda pesa itarudi ndani ya mwaka, Chukua eicher ya milango miwili, wapiga debe wapo wengi katika kila kituo. Tegeta - kariakoo ni route nzuri sana mkuu. All the best mkuu.
mkuu kuna seheme ya hilo daraja wametengeneza njia ya chini ya bahari na meli kubwa zitakuwa zinapita juu na barabara yenye umbali wa kilomita sita itapita chini ya bahari.
mkuu umenikumbusha mbali sana nilikua mkwawa room 5 middle. Kipindi hicho mkuu ni Mpemba. mwalimu mkongwe wa maths alikua ELIFURAHA na huyu ndo mwenye historia ya mkulu walifundisha wote.
mkuu kama ni mfanyabiashara ni muhimu na lazima kila unapofanya manunuzi ya bidhaa uchukue risiti ya efd pindi unapofanya mahesabu ya kodi risti za manunuzi zionekane pia.
Mkuu na hayo malori si machakavu kama unavyosema ni Howo HW 371 direct kutoka kwa manufacturer sinotruk (CNHTC).
kikubwa Mangi umehofia biashara kushuka kutokana na transporters watakua affected na uingizwaji wa hizo trucks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.