Recent content by Alblondys

  1. Alblondys

    Lissu apinduliwe, ndiyo njia ya kuiponya CHADEMA

    Uwezo wa kuandka unao ila kufikir Mungu alikunyima
  2. Alblondys

    Nataka kufanya Top up ya Simu

    Asante sana nimekumanya
  3. Alblondys

    Nataka kufanya Top up ya Simu

    Shukran kwa ushauri Mkuu
  4. Alblondys

    Qur'an imewadharau sana waarabu waliohai

    Lengo la waanzilishi ni watu wajue hivyo na umejua wewe na wengine wengi. So kama ni mission tunasema.... Mission Complete
  5. Alblondys

    Tutalinda amani, umoja na usalama wa taifa letu Tanzania kwa nguvu na gharama yoyote ile licha ya matusi ya majirani waandamaji na masufuria vichwani

    Nilipoona neno "Uzalendo" nikaishia hapo. Uzalendo wa kuiba. 🤔 Hiyo Jumbe imeonesha wazi ni nini ulicho nacho.
  6. Alblondys

    Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

    Watoto wangapi mkuu hadi ukasema hiyo 150k?
  7. Alblondys

    Bidhaa kutokana na taka

    Kabla Hujaelezwa Bidhaa zinazoweza kuzalishwa, ni vyema ukaja na wazo kuu unataka kufanya Recycle ya Product zipi haswa? Je! Ni nini kimeku inspire kufanya hiyo Invest. Je! Walengwa ni kina nani hasa unataka uwaguse? Je! Umejaribu kufikiria zaidi kuhusu madhara ambayo wenda badae ukawekewa...
  8. Alblondys

    Nataka kufanya Top up ya Simu

    Asante kwa Ushauri, ila ni vyema kunipa na Sababu Mkuu!
  9. Alblondys

    Nataka kufanya Top up ya Simu

    Salam wana Jf. Nina Simu yangu Samsung Galaxy Note9, Storage yake 128gb, Ram 6gb. Changamoto yake: Flickering kiswahili sijajua vzuri ila Kioo ni kama kinaonesha kufifia hivi. Kazi inafanya vizuri tu hai haina Kipengele kingine. Nataka nifanye Top up nichukue Google Pixel au Samsung series...
Back
Top Bottom